• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 5:22 PM

Liverpool watembea kwa upweke jijini Madrid

Na MASHIRIKA MADRID, Uhispania WALIPOTEREMKA uwanjani Wanda Metropolitano jijini Madrid mnamo Jumanne usiku, Liverpool walikuwa...

Kivumbi Atletico Madrid wakialika Liverpool leo Jumanne

Na MASHIRIKA MADRID, UHISPANIA ATLETICO Madrid watakuwa leo Jumanne wenyeji wa Liverpool katika mkondo wa kwanza wa hatua ya 16-bora...

MBOGA YAJA: Liverpool yazuru Carrow Road kukabiliana na Norwich

Na MASHIRIKA NORWICH, Uingereza MASAIBU ya Norwich inayovuta mkia kwenye Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) yanatarajiwa kuongezeka...

ATAHAMA? Bayern Munich tayari kumshawishi Roberto Firmino kuagana na Liverpool

Na MASHIRIKA MUNICH, UJERUMANI BAYERN Munich wako tayari kutoa kima cha Sh10.5 bilioni ili kumshawishi fowadi matata Roberto Firmino,...

HISTORIA ILE! Pires asema Liverpool yaweza kutwaa ubingwa bila kushindwa

Na MASHIRIKA MERSEYSIDE, Uingereza ALIYEKUWA mshambuliaji matata wa Arsenal, Robert Pires amesema klabu ya Liverpool inaweza kutwaa...

‘The Reds’ moto kama pasi

 GEOFFREY ANENE na MASHIRIKA LIVERPOOL iliendeleza kampeni yake safi msimu huu baada ya kuchabanga wenyeji West Ham 2-0 uwanjani London...

HUWAWEZI: Liverpool yapiga wenyeji Wolves

Na MASHIRIKA LONDON, Uingereza VIONGOZI Liverpool walipiga hatua kubwa katika juhudi zao za kuwa mabingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza...

GUU ANFIELD: Liverpool yawinda Mbappe

Na MASHIRIKA PARIS, Ufaransa BAADA ya Liverpool kusaini dili nzito na kampuni ya Nike kwa mkataba unaoweza kuiletea klabu hiyo Sh10...

SURA TISHO: Liverpool yaicharaza Everton 1-0 dimba la FA

Na MASHIRIKA MERSYSIDE, Uingereza LICHA ya mabadiliko kadhaa yaliyofanywa na kocha Jurgen Klopp, kikosi cha Liverpool kilionyesha...

FARASI NI MMOJA TU! Liverpool juu mahasimu wakijikokota

Na MASHIRIKA LEICESTER, Uingereza LIVERPOOL imekalia kisawasawa uongozi wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL), baada ya kuvyoga wenyeji wake...

Miamba wa soka duniani

NA MASHIRIKA  DOHA, QATAR KOCHA Jurgen Klopp alikuwa mwingi wa sifa kwa masogora wake wa Liverpool kwa “kupita mtihani mwingine”...

KAZI BADO: Kutoka sare kwachelewesha sherehe Liverpool

Na MASHIRIKA LONDON, Uingereza SHEREHE za Liverpool na Chelsea katika soka ya Klabu Bingwa Ulaya zilicheleweshwa hadi mwezi ujao...