Tag: lonyangapuo
Covid: Wanaohepa chanjo kuadhibiwa
Na OSCAR KAKAI GAVANA wa Kaunti ya Pokot Magharibi, Prof John Lonyangapuo ametishia kuwafuta kazi maafisa wa kaunti ambao hawatajitokeza...
- by adminleo
- November 11th, 2019
Matokeo ya sensa kaunti yangu yanaogofya – Lonyangapuo
Na Oscar Kakai GAVANA wa Kaunti ya Pokot Magharibi, Profesa John Lonyangapuo amepuuzilia mbali matokea ya sensa ya kaunti hiyo akidai...
- by adminleo
- September 16th, 2019
Poghisio amkejeli Lonyangapuo kubadilisha mawaziri kila mara
Na OSCAR KAKAI SENETA wa Kaunti ya Pokot Magharibi, Bw Samuel Poghisio amemsuta Gavana John Lonyangapuo kwa jinsi anavyobadilisha baraza...
- by adminleo
- June 23rd, 2019
Elimu imefanya wizi wa mifugo kupungua, Lonyagapuo asema
Na Oscar Kakai Gavana wa Kaunti ya Pokot Magharibi, Profesa John Lonyangapuo, amesema kuwa visa vya wizi wa ng’ombe katika eneo hilo...
- by adminleo
- June 16th, 2019
‘Kijana fupi nono round’ akataa kazi ya Ruto
Na OSCAR KAKAI MWANASIASA wa Kaunti ya Pokot Magharibi, Dennis Ruto Kapchok, almaarufu Mulmulwas, amekataa kazi aliyoahidiwa na Naibu...
- by adminleo
- June 10th, 2019
Hatimaye Gavana Lonyangapuo arudishiwa ulinzi
Na Oscar Kakai GAVANA wa Kaunti ya Pokot Magharibi, Prof John Lonyangapuo amerudishiwa walinzi wake, miezi minane baada ya kupokonywa na...
- by adminleo
- June 4th, 2019
Ukabila umepitwa na wakati, tupendane – Lonyangapuo
Na PETER MBURU GAVANA wa West Pokot John Lonyangapuo amerejea vinywani mwa watu tena, kufatia wito wake mpya kwa wakazi wa kaunti yake,...
- by adminleo
- May 29th, 2019
Lonyangapuo atetea naibu wake kuhudumia wakazi akiwa Amerika
Na PETER MBURU GAVANA wa West Pokot Prof John Lonyangapuo amemtetea naibu wake Dkt Nicholas Atudonyang’ kutokana na hali yake...
- by adminleo
- February 20th, 2019
Lonyangapuo awataka walionyakua ardhi ya umma wairejeshe upesi
Na OSCAR KAKAI GAVANA wa Pokot Magharibi, Prof John Lonyangapuo ameaonya vikali wanyakuzi wa ardhi na wanaohusika na ufisadi katika...