Tag: mafuriko
- by adminleo
- January 2nd, 2020
MATUKIO YA 2019: Mafuriko yalivyotatiza wakazi Thika
Na SAMMY WAWERU MWAKA wa 2019 uliofika tamati Jumanne ulikuwa wenye matukio tofauti, kuanzia kamatakamata ya washukiwa wa sakata za...
- by adminleo
- December 31st, 2019
Matukio 2019: Mafuriko yaligeuka fursa ya kipato kwa baadhi ya vijana Mwiki
Na SAMMY WAWERU NAIROBI ni miongoni mwa kaunti zilizoathirika na mvua iliyopitiliza iliyoshuhudiwa mwishoni mwa mwaka 2019. Ingawa...
- by adminleo
- December 30th, 2019
Maporomoko ya ardhi na mafuriko yasababisha uharibifu Machakos
Na SAMMY KIMATU WAKAZI katika vijiji vya Mutituni, Sinai na Ngelani katika Kaunti ya Machakos wanakadiria hasara baada ya mafuriko ya...
- by adminleo
- December 30th, 2019
Wataenda wapi wahasiriwa wa mafuriko Januari?
Na WAANDISHI WETU MAMIA ya Wakenya wangali wamepiga kambi katika shule mbalimbali nchini kufuatia mafuriko, huku shule zikiwa karibu...
- by adminleo
- December 16th, 2019
Wanakijiji walia mvua kubwa kuharibu mali
NA LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa kijiji cha Kiganjo Thika, wanalalamika hasara baada ya mvua kubwa kuharibu mali yao. Walisema kwa...
- by adminleo
- December 11th, 2019
Wezi waogelea katika mafuriko kuibia wahamaji
Na WAANDISHI WETU WAKAZI wa Rongai, kaunti ya Nakuru wamelalamikia jinsi wezi wanavyotumia wakati huu wa mafuriko kuvunja nyumba na...
- by adminleo
- December 11th, 2019
Majonzi tele mvua ikiendelea kuzua vifo na uharibifu
Na WAANDISHI WETU MVUA kubwa inayoendelea kunyesha sehemu mbalimbali nchini imesababisha uharibifu mkubwa wa miundomsingi ya uchukuzi...
- by adminleo
- December 9th, 2019
Waathiriwa wa mafuriko kupewa makao mapya
Na WAANDISHI WETU SERIKALI kuu na za kaunti ziko mbioni kuwapa makao mapya waathiriwa wa mafuriko katika maeneo yaliyoathirika zaidi na...
- by adminleo
- December 5th, 2019
Wakazi wa Giciiki Thika Magharibi wahama kufuatia mafuriko
Na LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa Giciiki katika eneo la Gatuanyaga, Thika Mashariki, wamelazimika kuhama kutoka makazi yao kufuatia mvua...
- by adminleo
- December 3rd, 2019
Mbunge ashangaza kuwaambia waathiriwa wa mafuriko wasubiri msaada Alhamisi
NA CECIL ODONGO MBUNGE wa Nyando Jared Okello Jumanne aliwataka wakazi wa eneobunge la Nyando ambao wameathirika na mafuriko kuwa...
- by adminleo
- December 3rd, 2019
Mafuriko yazidi kusomba nyumba za wakazi
Na WAANDISHI WETU WATU saba walifariki katika visa vitatu tofauti kutokana na mvua inayoendelea. Wawili walipatikana wamefariki ndani...
- by adminleo
- December 3rd, 2019
Waliokwama mtoni siku tatu wasimulia masaibu
Na PIUS MAUNDU WANAUME watatu waliokuwa wamekwama katika kisiwa kilichoko katikati mwa Mto Athi unaopitia kijijini Yikivuthi, Kaunti ya...