Tag: mafuta
- by adminleo
- April 26th, 2020
Hakuna nafuu licha ya bei ya mafuta kushuka
Na EDWIN OKOTH HAKUNA matumaini kwa Wakenya kunufaika na bei ya chini ya mafuta iliyotangazwa mwezi huu wa Aprili. Mamlaka ya...
- by adminleo
- February 6th, 2020
UBUNIFU WA KIUCHUMI: Mjasiriamali anayetengeneza bidhaa kupitia malighafi asilia
Na SAMMY WAWERU UTENGENEZAJI na uimarishaji wa viwanda ni mojawapo ya Ajenda Nne Kuu za Serikali na ambazo Rais Uhuru Kenyatta ameahidi...
- by adminleo
- September 17th, 2019
ULIMBWENDE: Jinsi ya kuifanya mikono, viganja na vidole kuwa laini
Na MARGARET MAINA [email protected] JAPO hatua ya kunywa maji kwa wingi ili kuwa na ngozi laini ni nzuri, unaweza pia...
- by adminleo
- September 14th, 2019
Bei ya dizeli na petroli yapanda, nayo ya mafuta taa yarudi chini
Na CAROLYNE AGOSA BEI ya dizeli na petroli imeongezeka kwa Sh2.44 na Sh0.28 katika kila lita mtawalia baada ya kushuka Agosti. Wenye...
- by adminleo
- August 26th, 2019
Historia Kenya ikianza kuuza mafuta katika nchi za kigeni
PSCU Na ANTHONY KITIMO KENYA Jumatatu iliweka historia ya kuwa taifa la kwanza Afrika Mashariki kujiunga na mataifa yanayouza mafuta...
- by adminleo
- August 12th, 2019
Maiti za waliokufa Tanzania kufanyiwa uchunguzi wa DNA
NA AFP SERIKALI ya Tanzania Jumatatu ilitangaza kuanzishwa kwa uchunguzi wa DNA kwenye miili iliyoteketea hadi kiwango cha...
- by adminleo
- August 12th, 2019
Polisi wazima wakazi kuchota mafuta Nakuru
Na PHYLLIS MUSASIA LICHA ya mkasa wa moto kuua watu karibu 70 walioenda kuchota mafuta kwenye lori lililopata ajali Tanzania wikendi,...
- by adminleo
- August 12th, 2019
Simanzi maziko ya wahanga 68 wa ajali ya mafuta yakianza TZ
NA MASHIRIKA MAJONZI yalitanda nchini Tanzania Jumapili wakati maandalizi ya kuwazika zaidi ya watu 60 waliokufa kwenye moto uliotokea...
- by adminleo
- July 24th, 2019
Kenya kuuza mafuta ng’ambo chini ya mpango wa majaribio
Na VALENTINE OBARA KENYA sasa iko tayari kusafirisha mafuta nje ya nchi kwa mara ya kwanza na hivyo kuweka historia Afrika...
- by adminleo
- July 17th, 2019
Mradi wa mafuta ghafi kutoka Lokichar hadi Lamu kuanza 2020
NA KALUME KAZUNGU MRADI wa ujenzi wa bomba la kusambazia mafuta ghafi kutoka Lokichar, Kaunti ya Turkana hadi kwenye eneo la Mradi wa...
- by adminleo
- July 16th, 2019
Wahatarisha maisha kuuzia bidhaa karibu na mabomba ya mafuta
SAMUEL BAYA na ERICK MATARA WAFANYIBIASHARA wa soko Mjinga linalopatikana katika mtaa wa Kaptembwa, viungani mwa mji wa Nakuru...
- by adminleo
- July 14th, 2019
Bei ya mafuta taa na dizeli yapungua, ya petroli yapanda
NA CECIL ODONGO BEI ya mafuta taa itashuka kuanzia Jumatatu, kufuatia mwongozo mpya uliotolewa na Mamlaka ya Kudhibiti Kawi na Petroli...