• Nairobi
  • Last Updated April 16th, 2024 6:11 PM

Vita vikali Afghanstan huku zaidi ya watu 40 wakiuawa

Na AFP MAPIGANO makali yanaendelea kuchacha katika miji mikuu nchini Afghanistan, huku Umoja wa Mataifa (UN) ukisema kuwa, jumla ya watu...

Onyo magaidi wasajili watoto mitandaoni

Na MARY WAMBUI WAZAZI wametakiwa wafuatilie mienendo ya watoto wao ili kuwazuia kujiunga na makundi ya kigaidi kupitia ueneaji wa...

Unyama magaidi wakilipua ambulensi ya mjamzito

Na MARY WAMBUI MTU mmoja alifariki baada ya magaidi kushambulia ambulensi ya Serikali ya Kaunti ya Mandera usiku wa kuamkia...

Jeshi la Sri Lanka laeneza msako dhidi ya magaidi

Na AFP WANAJESHI wa Sri Lanka wanazuilia takriban watu 100, ambao wanashukiwa kuhusika na mavamizi msimu wa Pasaka, ambapo watu 258...

Amerika yataja Wakenya wawili magaidi sugu wa kimataifa

Na KEVIN KELLEY WIZARA ya Mashauri ya Kigeni ya Amerika imewaorodhesha Wakenya wawili viongozi wa kundi la Al-Shabaab kuwa “magaidi wa...

Jeshi la Misri lasema limeua magaidi 12 katika operesheni

[caption id="attachment_1415" align="aligncenter" width="800"] Jeshi la Misri likilinda doria. Picha/ AFP[/caption] Na...

Watu wanne wafariki baada ya kukanyaga kilipuzi

Na MASHIRIKA BAMAKO, MALI JESHI la Mali limesema kwamba watu wanne waliuawa na kadhaa wakajeruhiwa baada ya gari lao kulipuliwa eneo...