Tag: magongo
- by T L
- January 21st, 2022
Madume wa Kenya wanasubiria mtihani mgumu Hoki za Afrika
Na JOHN KIMWERE KENYA itaingia mzigoni kukabili Misri kwenye nusu fainali ya wanaume katika magongo ya Kombe la Afrika inayoendelea...
Wito mchezo wa magongo upewe nafasi sawa na kandanda, netiboli, voliboli
Na RICHARD MAOSI HUENDA Wakenya wengi hawajawahi kusikia kuhusu mchezo wa magongo, ambao kwa kawaida hushirikisha timu mbili zenye...
Mechi za kimaeneo za kufuzu kwa fainali za Hoki ya Afrika zasogezwa kutoka Januari hadi Machi 2021
Na CHRIS ADUNGO MASHINDANO ya kiwango cha kimaeneo ya kufuzu kwa fainali za Kombe la Afrika yaliyokuwa awali yameratibiwa kufanyika kati...
- by adminleo
- May 9th, 2020
Rai kocha mpya wa timu ya taifa ya hoki awadumishe nyota wa zamani
Na CHRIS ADUNGO MVAMIZI wa Sikh Union, Davis Wanangwe amewataka makocha wapya wa timu ya hoki kudumisha idadi kubwa ya wachezaji...
- by adminleo
- January 24th, 2020
Timu za magongo zilivyotamba licha ya kukosa hela
Na JOHN KIMWERE MWAKA uliyopita Kenya ilijikuta pagumu katika magongo baada ya umaskini kuchangia timu za wanaume na wanawake kukosekana...
- by adminleo
- December 10th, 2019
USIU-A yaifunza Sailors jinsi ya kucheza magongo
Na JOHN KIMWERE MATUMAINI ya Sailors kumaliza sita katika jedwali la Ligi Kuu ya magongo ya wanaume yalimea mabawa ilipolimwa mabao 5-2...
- by adminleo
- September 24th, 2019
USIU-A yapata matokeo mseto katika ligi ya hoki
Na JOHN KIMWERE TIMU za wanaume na wanawake za mpira wa magongo za Chuo Kikuu cha USIU-A, ziliandikisha matokeo mseto kwenye Ligi Kuu,...
- by adminleo
- August 19th, 2019
Kenya yafundishwa magongo
JOHN KIMWERE Na GEOFFREY ANENE KENYA imejifunza mambo kadhaa baada ya kupokezwa vichapo kwenye mechi za magongo ya wanaume na wanawake...
- by adminleo
- August 15th, 2019
Wanaume na wanawake wa Kenya waadhibiwa na Zimbabwe mashindano ya magongo kuingia Olimpiki
Na GEOFFREY ANENE NI rasmi sasa kuwa timu ya magongo ya wanaume ya Kenya imebanduliwa nje ya kampeni ya kufuzu kushiriki Michezo ya...
- by adminleo
- August 13th, 2019
Warembo wa Kenya wala sare dhidi ya Ghana
Na GEOFFREY ANENE KENYA imepata alama moja muhimu dhidi ya Ghana japo kwa jasho katika mechi yake ya pili ya kina dada kwenye mchujo wa...
- by adminleo
- August 12th, 2019
Ghana yazimia Kenya ndoto ya kufuzu magongo Olimpiki
Na GEOFFREY ANENE KENYA imepata pigo katika juhudi zake za kurejea katika Olimpiki kwenye fani ya mpira wa magongo ya wanaume baada ya...
- by adminleo
- August 12th, 2019
Warembo wa Kenya wazamisha Namibia kufuzu Olimpiki magongo
Na GEOFFREY ANENE KENYA imeanza kampeni za kutafuta tiketi ya kushiriki mpira wa magongo ya wanawake kwa mara ya kwanza kabisa kwenye...