Tag: majambazi
- by T L
- November 11th, 2022
Majambazi wateka miji na vijiji nchini
NA WAANDISHI WETU WAKENYA katika maeneo mengi ya nchi wanaishi kwa hofu kutokana na kuibuka kwa magenge ya majambazi wanaotumia mabavu...
Jambazi sugu Maragua aponea kuuawa na polisi baada ya kufumaniwa akilisha makurutu kiapo
NA MWANGI MUIRURI Kinara wa genge la uvamizi wa mauaji katika Kaunti ya Murang'a ameponyoka mauti baada ya kuponea chupuchupu alipokoswa...
Polisi waua jambazi sugu aliyejaribu kuwashambulia kwa kisu
NA KALUME KAZUNGU POLISI kaunti ya Lamu wamempiga risasi na kumuua papo hapo mwanamume jambazi aliyejaribu kuwatisha maafisa hao kwa kisu...
- by adminleo
- January 23rd, 2020
Jinsi washukiwa watatu wa uhalifu walivyouawa Juja
Na LAWRENCE ONGARO WASHUKIWA watatu wa ujambazi waliovamia kijiji cha Nyacaba, kaunti ndogo ya Juja, wameuawa na maafisa wa...
- by adminleo
- February 6th, 2019
Mwanahabari asimulia mateso mikononi mwa polisi bandia
Na WYCLIFFE MUIA MWANAHABARI Wambui Wakobi wa kituo cha televisheni cha Kameme aliteseka mikoni mwa watu aliodhani kuwa maafisa wa...
- by adminleo
- April 26th, 2018
Majambazi wanawake ‘Wakware Babies’ waibuka kuwahangaisha wakazi Kisauni
Na MOHAMED AHMED GENGE jipya linalohusisha wanawake limeibuka katika eneo la Bombolulu, Kisauni jijini Mombasa. Genge hilo...
- by adminleo
- April 2nd, 2018
Wakazi wakejeli maafisa kushindwa kuwakamata wahalifu
[caption id="attachment_3971" align="aligncenter" width="800"] Ahmed Omar akilalamika juu ya idadi kubwa ya wahalifu wanaozidi kuwakosesha...