• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 10:08 PM

Majambazi wateka miji na vijiji nchini

NA WAANDISHI WETU WAKENYA katika maeneo mengi ya nchi wanaishi kwa hofu kutokana na kuibuka kwa magenge ya majambazi wanaotumia mabavu...

Jambazi sugu Maragua aponea kuuawa na polisi baada ya kufumaniwa akilisha makurutu kiapo

NA MWANGI MUIRURI Kinara wa genge la uvamizi wa mauaji katika Kaunti ya Murang'a ameponyoka mauti baada ya kuponea chupuchupu alipokoswa...

Polisi waua jambazi sugu aliyejaribu kuwashambulia kwa kisu

NA KALUME KAZUNGU POLISI kaunti ya Lamu wamempiga risasi na kumuua papo hapo mwanamume jambazi aliyejaribu kuwatisha maafisa hao kwa kisu...

Jinsi washukiwa watatu wa uhalifu walivyouawa Juja

Na LAWRENCE ONGARO WASHUKIWA watatu wa ujambazi waliovamia kijiji cha Nyacaba, kaunti ndogo ya Juja, wameuawa na maafisa wa...

Mwanahabari asimulia mateso mikononi mwa polisi bandia

Na WYCLIFFE MUIA MWANAHABARI Wambui Wakobi wa kituo cha televisheni cha Kameme aliteseka mikoni mwa watu aliodhani kuwa maafisa wa...

Majambazi wanawake ‘Wakware Babies’ waibuka kuwahangaisha wakazi Kisauni

Na MOHAMED AHMED GENGE jipya linalohusisha wanawake limeibuka katika eneo la Bombolulu, Kisauni jijini Mombasa. Genge hilo...

Wakazi wakejeli maafisa kushindwa kuwakamata wahalifu

[caption id="attachment_3971" align="aligncenter" width="800"] Ahmed Omar akilalamika juu ya idadi kubwa ya wahalifu wanaozidi kuwakosesha...