Tag: Makanisa
- by adminleo
- July 26th, 2020
Uhuru na Ruto wapeleka vita vyao vya ubabe katika makanisa
Na LEONARD ONYANGO VIONGOZI wa makanisa wamejipata katikati ya ubabe wa kisiasa baina ya Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William...
- by adminleo
- July 11th, 2020
Kanuni mpya za ibada zapingwa na makanisa
Na WAANDISHI WETU MAKANISA ya kiinjilisti yamelalamika kuhusu kanuni zilizotolewa na serikali kuhusu jinsi ibada zitaendelezwa kuanzia...
- by adminleo
- July 8th, 2020
Makanisa na misikiti kufunguliwa Julai 14
NA CHARLES WASONGA MAENEO ya ibada sasa yatafuguliwa kuanzia Jumanne Julai 14, 2020 chini ya masharti makali ya kuwakinga waumini dhidi...
- by adminleo
- June 25th, 2020
Uwanja ambapo ibada hufanyika wakati wa corona
Na SAMMY WAWERU Ni zaidi ya siku 100 tangu kisa cha kwanza cha maambukizi ya Covid - 19 kiripotiwe nchini Kenya, mnamo Machi 13,...
- by adminleo
- June 15th, 2020
Wakenya wanataka makanisa yafunguliwe – Ripoti
Na LEONARD ONYANGO IDADI kubwa ya Wakenya wanataka waruhusiwe kwenda kuabudu makanisani na misikitini huku wakipinga mpango wa serikali...
- by adminleo
- June 6th, 2020
Roho mkononi waumini wakisubiri tangazo la Uhuru
Na VALENTINE OBARA RAIS Uhuru Kenyatta anatarajiwa kutangaza mikakati mipya ya kuepusha ueneaji wa virusi vya corona leo, huku kukiwa na...
- by adminleo
- April 16th, 2020
Wahubiri waomba makanisa yafunguliwe kwa zamu
Na JUSTUS OCHIENG VIONGOZI wa kidini kutoka eneo la Nyanza sasa wanataka makanisa yafunguliwe na waumini wahudhurie ibada kwa zamu ili...
- by adminleo
- April 11th, 2020
Mapasta washtaki serikali kuzuia ibada
Na MAUREEN KAKAH MAPASTA watatu wameelekea kortini kutaka agizo la kuondolewa marufuku ya kuendesha ibada, na badala yake hatua ziwekwe...
- by adminleo
- April 9th, 2020
Makanisa sasa yazoea hali ya waumini kuombea nyumbani
NA SAMMY WAWERU Wiki ya pili, makanisa kote nchini yamesalia kufungwa kufuatia agizo la serikali ili kusaidia kudhibiti maenezi ya Covid...
- by adminleo
- April 2nd, 2020
CORONA: Kanisa lashangaza kuendea sadaka katika nyumba za washirika
Na STEPHEN MUNYIRI KUTOKANA na hatua ya serikali kupiga marufuku ibada za Jumapili kote nchini kufuatia mkurupuko wa virusi vya corona...
- by adminleo
- March 31st, 2020
CORONA: Maisha dijitali kwa makanisa
NA SAMMY WAWERU Wiki moja baada ya serikali kuamuru makanisa yote nchini kusitisha kwa muda usiojulikana waumini kuhudhuria ibada ili...
- by adminleo
- March 29th, 2020
CORONA: Kimya makanisani, waumini wakimbilia YouTube
NA FAUSTINE NGILA TOFAUTI na Jumapili iliyopita ambapo makanisa mengine yalikaidi amri ya serikali ya kufunga makanisa maeneo ya...