• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 8:55 PM

Uhuru na Ruto wapeleka vita vyao vya ubabe katika makanisa

Na LEONARD ONYANGO VIONGOZI wa makanisa wamejipata katikati ya ubabe wa kisiasa baina ya Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William...

Kanuni mpya za ibada zapingwa na makanisa

Na WAANDISHI WETU MAKANISA ya kiinjilisti yamelalamika kuhusu kanuni zilizotolewa na serikali kuhusu jinsi ibada zitaendelezwa kuanzia...

Makanisa na misikiti kufunguliwa Julai 14

NA CHARLES WASONGA MAENEO ya ibada sasa yatafuguliwa kuanzia Jumanne Julai 14, 2020 chini ya masharti makali ya kuwakinga waumini dhidi...

Uwanja ambapo ibada hufanyika wakati wa corona

Na SAMMY WAWERU Ni zaidi ya siku 100 tangu kisa cha kwanza cha maambukizi ya Covid - 19 kiripotiwe nchini Kenya, mnamo Machi 13,...

Wakenya wanataka makanisa yafunguliwe – Ripoti

Na LEONARD ONYANGO IDADI kubwa ya Wakenya wanataka waruhusiwe kwenda kuabudu makanisani na misikitini huku wakipinga mpango wa serikali...

Roho mkononi waumini wakisubiri tangazo la Uhuru

Na VALENTINE OBARA RAIS Uhuru Kenyatta anatarajiwa kutangaza mikakati mipya ya kuepusha ueneaji wa virusi vya corona leo, huku kukiwa na...

Wahubiri waomba makanisa yafunguliwe kwa zamu

Na JUSTUS OCHIENG VIONGOZI wa kidini kutoka eneo la Nyanza sasa wanataka makanisa yafunguliwe na waumini wahudhurie ibada kwa zamu ili...

Mapasta washtaki serikali kuzuia ibada

Na MAUREEN KAKAH MAPASTA watatu wameelekea kortini kutaka agizo la kuondolewa marufuku ya kuendesha ibada, na badala yake hatua ziwekwe...

Makanisa sasa yazoea hali ya waumini kuombea nyumbani

NA SAMMY WAWERU Wiki ya pili, makanisa kote nchini yamesalia kufungwa kufuatia agizo la serikali ili kusaidia kudhibiti maenezi ya Covid...

CORONA: Kanisa lashangaza kuendea sadaka katika nyumba za washirika

Na STEPHEN MUNYIRI KUTOKANA na hatua ya serikali kupiga marufuku ibada za Jumapili kote nchini kufuatia mkurupuko wa virusi vya corona...

CORONA: Maisha dijitali kwa makanisa

NA SAMMY WAWERU Wiki moja baada ya serikali kuamuru makanisa yote nchini kusitisha kwa muda usiojulikana waumini kuhudhuria ibada ili...

CORONA: Kimya makanisani, waumini wakimbilia YouTube

NA FAUSTINE NGILA TOFAUTI na Jumapili iliyopita ambapo makanisa mengine yalikaidi amri ya serikali ya kufunga makanisa maeneo ya...