• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 5:29 PM

MALEZI KIDIJITALI: Teknolojia yavutia wanaume kwa malezi

INGAWA ina changamoto zake ikizingatiwa kuwa inabadilika kila wakati na kwa haraka, teknolojia imerahisisha ulezi wa watoto hasa kwa...

Iweje mzazi wa kumzaa mtoto kabisa leo hii anamchukia?

Na MARY WANGAROI “SIMPENDI mwanangu na nimechoka kumuumiza.” Hayo ndiyo maneno kutoka kwa mwandishi na bloga maarufu kutoka Kenya,...

MALEZI NA LISHE: Aina za vyakula unavyoweza kumpa mtoto mchanga

Na MARGARET MAINA [email protected] KWA miezi sita ya kwanza punde mtoto anapokuwa amezaliwa, huwa anatosheka na maziwa ya...

Wanawake wanne waacha watoto wao katika hospitali Thika

Na LAWRENCE ONGARO WATOTO wachanga wanne wameachwa katika hospitali ya Thika Level 5 na akina mama zao baada ya kuzaliwa. Inadaiwa...

SIKU YA MAMA: Selina Awinja aeleza jinsi anavyowalea wanawe saba

Na PHYLLIS MUSASIA WANAWAKE wengi Jumapili walisherehekea na kuthaminiwa kwa njia mbalimbali ikiwa ni Siku ya Mama. Baadhi walituzwa...

MALEZI: Amani ya kesho inategemea malezi ya sasa kwa watoto

Na MWANGI MUIRURI MAHATMA Karamchad Gandhi, wakati akiwa hai aliwahi kusema kuwa ikiwa dunia ilikuwa na nia ya kupambana na ghasia za...

Njoo umchukue mtoto wako, lofa amzushia polo

NA MWANDISHI WETU KIPSITET, KERICHO Mlofa wa hapa aliwakosesha walevi raha mangweni alipozusha akimlaumu barobaro mmoja kwa kumuachia...

Mbunge wa zamani akwepa majukumu ya malezi

Na PETER MBURU ALIYEKUWA mbunge wa Lamu Julius Ndegwa ameshtakiwa na mwanamke anayemtaka kugharamia maisha yake na mwanawe kwa kuwalipia...

Mtoto aliyejitwika jukumu la kumlea mamaye mlemavu

NA PETER MBURU HALI ya ulemavu kwa mama mmoja kutoka mtaa wa Shabaab, Nakuru aliyetelekezwa na familia yake miaka 18 iliyopita imemsukumia...