Tag: malezi
- by T L
- April 10th, 2022
MALEZI KIDIJITALI: Teknolojia yavutia wanaume kwa malezi
INGAWA ina changamoto zake ikizingatiwa kuwa inabadilika kila wakati na kwa haraka, teknolojia imerahisisha ulezi wa watoto hasa kwa...
Iweje mzazi wa kumzaa mtoto kabisa leo hii anamchukia?
Na MARY WANGAROI “SIMPENDI mwanangu na nimechoka kumuumiza.” Hayo ndiyo maneno kutoka kwa mwandishi na bloga maarufu kutoka Kenya,...
- by adminleo
- June 2nd, 2020
MALEZI NA LISHE: Aina za vyakula unavyoweza kumpa mtoto mchanga
Na MARGARET MAINA [email protected] KWA miezi sita ya kwanza punde mtoto anapokuwa amezaliwa, huwa anatosheka na maziwa ya...
- by adminleo
- May 25th, 2020
Wanawake wanne waacha watoto wao katika hospitali Thika
Na LAWRENCE ONGARO WATOTO wachanga wanne wameachwa katika hospitali ya Thika Level 5 na akina mama zao baada ya kuzaliwa. Inadaiwa...
- by adminleo
- May 11th, 2020
SIKU YA MAMA: Selina Awinja aeleza jinsi anavyowalea wanawe saba
Na PHYLLIS MUSASIA WANAWAKE wengi Jumapili walisherehekea na kuthaminiwa kwa njia mbalimbali ikiwa ni Siku ya Mama. Baadhi walituzwa...
- by adminleo
- July 23rd, 2019
MALEZI: Amani ya kesho inategemea malezi ya sasa kwa watoto
Na MWANGI MUIRURI MAHATMA Karamchad Gandhi, wakati akiwa hai aliwahi kusema kuwa ikiwa dunia ilikuwa na nia ya kupambana na ghasia za...
- by adminleo
- June 16th, 2019
Njoo umchukue mtoto wako, lofa amzushia polo
NA MWANDISHI WETU KIPSITET, KERICHO Mlofa wa hapa aliwakosesha walevi raha mangweni alipozusha akimlaumu barobaro mmoja kwa kumuachia...
- by adminleo
- May 22nd, 2019
Mbunge wa zamani akwepa majukumu ya malezi
Na PETER MBURU ALIYEKUWA mbunge wa Lamu Julius Ndegwa ameshtakiwa na mwanamke anayemtaka kugharamia maisha yake na mwanawe kwa kuwalipia...
- by adminleo
- March 28th, 2018
Mtoto aliyejitwika jukumu la kumlea mamaye mlemavu
NA PETER MBURU HALI ya ulemavu kwa mama mmoja kutoka mtaa wa Shabaab, Nakuru aliyetelekezwa na familia yake miaka 18 iliyopita imemsukumia...