• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 8:55 PM

Mama Sarah Obama azikwa katika hafla iliyohudhuriwa na wachache

Na SAMMY WAWERU NYANYA ya aliyekuwa Rais wa Amerika Bw Barack Obama, Mama Sarah Obama alizikwa Jumanne nyumbani kwake katika kijiji cha...

Mama Sarah Obama alikuwa mwanamke wa kipekee – Raila Odinga

Na SAMMY WAWERU TAIFA limepoteza mama na kiongozi aliyestahimili mawimbi ya changamoto kuona familia yake na jamii imeimarika, amesema...

Mama Sarah Obama kuzikwa Jumanne

Na SAMMY WAWERU MAMA Sarah Obama, ambaye ni nyanya ya aliyekuwa Rais wa Amerika, Bw Barack Obama atazikwa kesho, Jumanne kwa mujibu wa...

Watanzania mitandaoni wawafafanulia Wakenya maana ya neno ‘bibi’

Na MARY WANGARI   WAKENYA Jumatatu wameungana na jamii ya kimataifa kumboleza kifo cha Mama Sara Obama kwa kutuma risala zao za...

Gavana Nyong’o aongoza Nyanza kumuomboleza Mama Sarah Obama

SAMMY WAWERU na WANGU KANURI GAVANA wa Kisumu Prof Anyang’ Nyong’o ameongoza wakazi wa kaunti za eneo la Nyanza kumuomboleza nyanya...

TANZIA: Mama Sarah Obama afariki

Na SAMMY WAWERU NYANYA ya aliyekuwa Rais wa Amerika, Bw Barrack Obama, Mama Sarah Obama amefariki. Mama Sarah, ambaye alikuwa mjane, mke...