Tag: man city
- by T L
- February 16th, 2022
Man-City wapepeta Sporting Lisbon bila huruma katika UEFA
Na MASHIRIKA MANCHESTER City waliweka hai matumaini ya kutinga robo-fainali za Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu huu kirahisi baada ya...
- by T L
- December 22nd, 2021
Man-City wakubali kuuzia Barcelona kiungo mvamizi Ferran Torres
Na MASHIRIKA MANCHESTER City wamekubali mpango wa kumuuza fowadi Ferran Torres kambini mwa Barcelona. Inaripotiwa kwamba Barcelona...
- by T L
- December 20th, 2021
Man-City wakomoa Newcastle na kukalia vizuri kileleni mwa jedwali la EPL
Na MASHIRIKA MANCHESTER City walikomoa Newcastle United 4-0 ugani Etihad na kufungua mwanya wa alama tatu kati yao na nambari mbili...
Man-City watwanga Wolves na kufungua pengo la alama 15 kileleni mwa jedwali la EPL
Na MASHIRIKA KOCHA Pep Guardiola amepongeza wanasoka wake kwa kujituma vilivyo na kusajili matokeo ya kuridhisha katika kipindi ambapo...
Man-City wacharaza Burnley tena na kujiweka pazuri kutwaa taji la EPL msimu huu
Na MASHIRIKA MANCHESTER City walifungua mwanya wa alama tatu kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) mnamo Februari 3, 2021...
- by adminleo
- June 12th, 2020
Hatima ya Man City kucheza UEFA kujulikana Julai
Na CHRIS ADUNGO MAHAKAMA ya Mizozo ya Spoti Duniani (CAS) inatarajiwa kutangaza maamuzi ya kesi ya rufaa ya Manchester City dhidi ya...
- by adminleo
- June 8th, 2020
Man City roho mkononi kesi dhidi yao ikianza
Na CHRIS ADUNGO MANCHESTER City wanaanza mojawapo ya wiki ngumu zaidi katika historia yao wakifahamu uwezekano wa hadhi yao kushuka,...
- by adminleo
- August 30th, 2019
MBOGA YA MAN CITY: Manchester City kuanza kutetea ubingwa League Cup dhidi ya Preston
Na MASHIRIKA LONDON, Uingereza MANCHESTER City itaanza kampeni ya kutetea ubingwa wake wa soka ya League Cup dhidi ya klabu ya...
- by adminleo
- May 21st, 2019
Kombora nililopiga Leicester ni leseni ya kuondoka Etihad – Kompany
NA CECIL ODONGO NAHODHA wa Manchester City Vincent Kompany amefichua kwamba aliamua kubanduka kambini mwa timu hiyo alipofunga bao...
- by adminleo
- May 20th, 2019
Ilinikata maini kubanduliwa UEFA, afunguka Gundogan
NA CECIL ODONGO KIUNGO wa Manchester City Ilkay Gundogan amesema kwamba kubanduliwa kwenye ligi ya mabingwa UEFA kulimkata...
- by adminleo
- May 12th, 2019
Man City watwaa ufalme wa EPL kwa mara ya pili mfululizo
NA MASHIRIKA LONDON, UINGEREZA MANCHESTER City waliweka historia katika soka ya Uingereza Jumapili kwa kunyanyua ubingwa wa taji la...
- by adminleo
- April 15th, 2019
Sababu zitakazowavunia Barcelona au City ufalme UEFA
NA MWANDISHI WETU MECHI za maruadiano ya robo-fainali za kuwania taji la Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu huu zitasakatwa wiki hii huku...