• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 10:08 PM

MUTUA: Chocheo la vita Ethiopia ni ukabila, manyanyaso

Na DOUGLAS MUTUA VITA vinavyoendelea nchini Ethiopia ni mfano bora wa mambo yanavyoweza kuharibika mfumo wa utawala wa ugatuzi...

WASONGA: EACC itaje wazi watumishi wa umma wachapao siasa

Na CHARLES WASONGA KILA Mkenya ana haki ya kuwania kiti chochote cha kisiasa katika uchaguzi mkuu mradi ametimiza mahitaji...

MATHEKA: Miungano mipya ya kisiasa isiwe ya kupiganisha raia

Na BENSON MATHEKA HUKU miungano ya kisiasa ikiendelea kusukwa kuelekea uchaguzi mkuu wa 2022, kuna hatari ambayo Wakenya wanafaa kuwa...

KAMAU: Kuna ishara ghasia za 2007/08 zitatokea tena

Na WANDERI KAMAU UWAJIBIKAJI wa serikali husika hukitwa katika namna ambapo taasisi huru huendesha majukumu yake. Ni vibaya ikiwa...

WANGARI: Mfumo jumuishi kwa watoto wote utaokoa elimu Kenya

Na MARY WANGARI SHULE zinapofunguliwa juma hili kwa Muhula wa Kwanza mwaka huu, ni wazi kuwa mageuzi muhimu yanahitajika ili kuepuka...

ODONGO: Mudavadi na Kalonzo hawawezi kitu bila Raila

Na CECIL ODONGO MSUKUMO wa baadhi ya viongozi wa muungano wa One Kenya Alliance (OKA) kujiondoa katika NASA unachochewa na dhana kuwa...

WASONGA: Masomo yasivurugwe tena mwaka huu mfupi

Na CHARLES WASONGA MWAKA wa masomo wa 2021 unaaanza leo shule zote zinapofunguliwa kwa muhula wa kwanza kwa madarasa yote katika shule...

WARUI: Walimu wakuu wanaokaidi agizo la karo wachukuliwe hatua

Na WANTO WARUI INASHANGAZA kusikia baadhi ya walimu wakuu wa sekondari wanakiuka mwongozo uliotolewa na Wizara ya Elimu kuhusu karo ya...

MUTUA: Mbona hasira za Wakenya zinaishia kuuana kiafriti?

Na DOUGLAS MUTUA HIVI sisi tunaowapenda watoto kwa jumla tutawadekeza na kuwaburudisha vipi bila kusingiziwa nia ya kuwateka na...

KAMAU: IEBC ijenge imani ya uwajibikaji miongoni mwa Wakenya

Na WANDERI KAMAU KWA miaka yote ambapo ghasia za baada ya uchaguzi zimeshuhudiwa nchini tangu uhuru, moja ya sababu kuu zimekuwa ni tume...

WASONGA: Ruwaza za kiuchumi zao Ruto, Raila ni hadaa tupu

Na CHARLES WASONGA MIONGOZO ya kiuchumi ambayo imezinduliwa na wagombeaji wa urais, Naibu Rais William Ruto na kiongozi wa ODM Raila...

MATHEKA: Serikali inawatesa raia kwa kuongeza ushuru kiholela

Na BENSON MATHEKA KWA wakati huu ambao Wakenya wanakabiliwa na hali ngumu ya maisha, kuna uwezekano raia wengi watapata msongo wa mawazo...