Tag: mapenzi
- by adminleo
- February 24th, 2019
Polo ajuta kujifanya dume la kupokonya wenzake mademu
Na TOBBIE WEKESA KARIOBANGI, NAIROBI. Polo mmoja alikemewa vikali na wenyeji wa hapa kwa kujifanya jogoo wa jijini na kuwapokonya...
- by adminleo
- February 19th, 2019
SHANGAZI: Nimeoa, yeye pia ameolewa, anataka tuwe wapenzi
Na SHANGAZI Hujambo shangazi? Nilifungua biashara hivi majuzi na nimeajiri wafanyakazi kadhaa, wanaume kwa wanawake. Nilishangaa...
- by adminleo
- February 18th, 2019
FUNGUKA: ‘Tabia zake chwara zanisisimua ajabu’
NA PAULINE ONGAJI “Uzuri wa mwanamke sio urembo ni tabia,” maneno yake mwanamuziki Samba Mapangala, na kauli ambayo nina uhakika...
- by adminleo
- February 7th, 2019
SHANGAZI: Nina mke ila namtamani sana kisura fulani afisini
NA SHANGAZI SIZARINA Hujambo shangazi? Nimeoa kwa miaka miwili sasa. Hata hivyo, nimependana na mwanamke fulani tunayefanya kazi pamoja....
- by adminleo
- January 30th, 2019
CHOCHEO: Mpikie mkeo akupe raha zaidi chumbani
NA BENSONN MATHEKA Wanaume wanaopikia wake zao na kusaidia majukumu ya nyumbani kama kulea watoto huwa na maisha ya ndoa yenye furaha....
- by adminleo
- January 24th, 2019
SHANGAZI: Akiwa mbali natamani burudani, akikaribia simtaki
NA SHANGAZI SIZARINA Hujambo shangazi? Mimi nimeolewa na nina shida kidogo. Nimekuwa nikipandwa na hamu ya kurusha roho na mume wangu...
- by adminleo
- January 23rd, 2019
Habibu alinitema baada ya kuugua, alia mwanamitindo
MASHIRIKA Na PETER MBURU MWANAMKE mmoja aliyekuwa mwanamitindo na ambaye sasa anaugua ugonjwa wa akili amemlaumu aliyekuwa mpenzi wake...
- by adminleo
- January 15th, 2019
Kijana huyu wa miaka 17 ananikolesha mahaba chumbani, asema ajuza wa miaka 74
MASHIRIKA Na PETER MBURU TENNESSEE, AMERIKA AJUZA wa miaka 74 ambaye alifunga ndoa na tineja amesifu ndoa yao kuwa iliyo na mapenzi ya...
- by adminleo
- January 15th, 2019
Pasta mpenda sketi afichuliwa kwa ndoto
Na LEAH MAKENA KAGEENE, MERU MUUMINI wa kanisa moja eneo hili alijipata mashakani alipotimuliwa kanisani kwa kumwambia pasta kwamba...
- by adminleo
- January 14th, 2019
Ndani kwa kuchoma nyumba ya mpenzi wa zamani akitaka warudiane
MASHIRIKA Na PETER MBURU MWANAFUNZI mmoja kutoka Uingereza alifungwa miaka sita gerezani, baada ya kuteketeza nyumba ya aliyekuwa mpenzi...
- by adminleo
- January 14th, 2019
Aliyetemwa na mzungu arejea kuchonga mawe
Na SAMUEL BAYA Kanamai, Kilifi KALAMENI aliyebeza wanakijiji baada ya kufanikiwa kupata demu mzungu sasa anajuta baada ya demu huyo...
- by adminleo
- January 10th, 2019
Kidosho avunja kituo cha polisi akimtaka polisi kimapenzi
MASHIRIKA na PETER MBURU PENNSYLVANIA, AMERIKA NGUVU za mapenzi huja na msisimko wa aina yake kwa watu wengi lakini kwa mwanamke mmoja...