• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 6:27 PM

MAPOZI: Nadia

Na PAULINE ONGAJI HAJADUMU katika fani ya muziki kwa muda mrefu lakini ushawishi wake unahisiwa katika kila pembe ya burudani...

MAPOZI: Bensoul

Na PAULINE ONGAJI ALIKUWA mwanamuziki wa kwanza kusajiliwa na Sol Generation, lebo inayomilikiwa na bendi ya Sauti Sol. Jina lake ni...

MAPOZI: Nviiri

Na PAULINE ONGAJI HUENDA baadhi wamemfahamu baada yake kushirikishwa kwenye kibao Extravaganza na Sauti Sol. Ukweli ni kwamba Nviiri...

MAPOZI: Crystal Asige

Na PAULINE ONGAJI KUSHIRIKI kwake katika kibao Extravaganza cha bendi ya Sauti Sol kumemfichua katika ulingo wa burudani huku sauti yake...

MAPOZI: Cedo

Na PAULINE ONGAJI JINA lake linapotajwa, basi huandamana na orodha ya baadhi ya majina makuu katika muziki nchini vilevile vibao...

MAPOZI: Young Wallace

Na PAULINE ONGAJI PINDI majina ya baadhi ya waelekezaji wa video matata nchini Kenya yanapotajwa, bila shaka lake huwepo. Anafahamika...

MAPOZI: Mary Oyaya

Na PAULINE ONGAJI WASHIKADAU na mashabiki wengi wa filamu nchini watadhani kwamba ni Mkenya mmoja tu; Lupita Nyong’o, ambaye amewahi...

MAPOZI: Eric Musyoka

Na PAULINE ONGAJI YEYE ni mmojawapo wa maprodusa wanaoheshimika nchini kutokana na kazi yake safi, huku akijivunia kufanyia kazi baadhi...

MAPOZI: Philip Makanda

Na PAULINE ONGAJI KILA unaposikia baadhi ya nyimbo maarufu humu nchini; hasa za kizazi cha sasa, basi kuna uwezekano kwamba huenda...

MAPOZI: Nick Mutuma

Na PAULINE ONGAJI ANATAMBULIKA sio tu kutokana na ustadi wake kama muigizaji, bali pia kama mwanamuziki, mwanamitindo, mtangazaji na...

MAPOZI: Gerald Langiri

Na PAULINE ONGAJI KENYA imetambulika katika ngazi za juu za uigizaji hasa kupitia mwigizaji Lupita Nyong’o aliyeiweka nchi hii kwenye...

MAPOZI: Kendi

Na PAULINE ONGAJI ALIJITOSA katika ulingo wa muziki akiwa na umri wa miaka 17 pekee na hata kusajiliwa na kampuni ya Calif Records, ambayo...