Tag: marathon
NIMETIMIZA NDOTO: Kipchoge anyakua dhahabu ya marathon
Na MASHIRIKA ELIUD Kipchoge amesema “ametimiza ndoto yake kitaaluma” baada ya kuwa mwanariadha wa kwanza tangu 1980 kuhifadhi...
- by adminleo
- November 29th, 2019
Joshua Kipkorir na Priscah Cherono ni miongoni mwa wakimbiaji 50,000 watakaoshiriki Standard Chartered Singapore Marathon
Na GEOFFREY ANENE WAKENYA Joshua Kipkorir na Priscah Cherono wako katika orodha ya wakimbiaji 50,000 kutoka mataifa 133 wanaotarajiwa...
- by adminleo
- October 14th, 2019
Brigid Kosgei avunja rekodi ya Marathon duniani
Na GEOFFREY ANENE WAKENYA Brigid Kosgei na Lawrence Cherono walitawala mbio za kifahari Jumapili za Chicago Marathon nchini Amerika,...
- by adminleo
- August 25th, 2019
Wakenya watawala Mexico City Marathon
Na GEOFFREY ANENE WAKENYA Duncan Maiyo na Vivian Kiplagat wamefagia mataji ya makala ya 37 ya mbio zakilomita 42 za Mexico City nchini...
- by adminleo
- June 18th, 2019
Kiptum ahifadhi la taji la mbio za viziwi nusu marathon
Na JOHN KIMWERE DANIEL Kiptum kutoka Nandi alijituma mithili ya mchwa na kufanikiwa kuhifadhi ubingwa wa mbio za viziwi za nusu marathon...
- by adminleo
- January 25th, 2019
Chepng’etich aibuka bingwa wa Dubai Marathon
Na GEOFFREY ANENE RUTH Chepng’etich ameshindia Kenya taji lake la kwanza la Dubai Marathon baada ya ukame wa miaka 12 kwa kutimka muda...
- by adminleo
- May 13th, 2018
Ngelel na Mukhwana washindwa kutetea mataji Dalian Marathon
Na GEOFFREY ANENE MABINGWA wa Dalian Marathon mwaka 2017, Willy Ngelel na Ednah Mukhwana wamepoteza mataji yao kwa wakimbiaji Edwin Kibet...
- by adminleo
- April 17th, 2018
Kirui kujizolea mamilioni kwa kusalia kileleni mwa jedwali
Na GEOFFREY ANENE LICHA ya kupoteza ubingwa wa mbio za Boston Marathon hapo Jumapili jioni, Mkenya Geoffrey Kirui anaongoza vita vya...
- by adminleo
- March 19th, 2018
Loyanae aongoza Wakenya kutangaza ubabe Seoul Marathon
Na GEOFFREY ANENE KENYA imenyakua taji la wanaume la mbio za Seoul Marathon kupitia Wilson Loyanae na kupoteza lile la wanawake nchini...
- by adminleo
- March 18th, 2018
Kiyara aunda milioni kwa muda wa saa mbili Taiwan
Na GEOFFREY ANENE MKIMBIAJI Rael Kiyara amejizolea Sh1, 012,240 baada ya kushinda mbio za New Taipei City Wan Jin Shi Marathon nchini...
- by adminleo
- March 12th, 2018
Wakenya Maritim na Chebitok watawala Barcelona Marathon
Na GEOFFREY ANENE WAKENYA Anthony Maritim na Ruth Chebitok waliibuka mabingwa wapya wa mbio za Barcelona Marathon nchini Uhispania,...
- by adminleo
- March 12th, 2018
Kiptanui anyakua ushindi Lisbon Half Marathon
Na GEOFFREY ANENE MKENYA Erick Kiptanui ameibuka mshindi wa mbio za Lisbon Half Marathon jijini Lisbon, Ureno, Jumapili. Kiptanui, ambaye...