• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 6:47 AM

NIMETIMIZA NDOTO: Kipchoge anyakua dhahabu ya marathon

Na MASHIRIKA ELIUD Kipchoge amesema “ametimiza ndoto yake kitaaluma” baada ya kuwa mwanariadha wa kwanza tangu 1980 kuhifadhi...

Joshua Kipkorir na Priscah Cherono ni miongoni mwa wakimbiaji 50,000 watakaoshiriki Standard Chartered Singapore Marathon

Na GEOFFREY ANENE WAKENYA Joshua Kipkorir na Priscah Cherono wako katika orodha ya wakimbiaji 50,000 kutoka mataifa 133 wanaotarajiwa...

Brigid Kosgei avunja rekodi ya Marathon duniani

Na GEOFFREY ANENE WAKENYA Brigid Kosgei na Lawrence Cherono walitawala mbio za kifahari Jumapili za Chicago Marathon nchini Amerika,...

Wakenya watawala Mexico City Marathon

Na GEOFFREY ANENE WAKENYA Duncan Maiyo na Vivian Kiplagat wamefagia mataji ya makala ya 37 ya mbio zakilomita 42 za Mexico City nchini...

Kiptum ahifadhi la taji la mbio za viziwi nusu marathon

Na JOHN KIMWERE DANIEL Kiptum kutoka Nandi alijituma mithili ya mchwa na kufanikiwa kuhifadhi ubingwa wa mbio za viziwi za nusu marathon...

Chepng’etich aibuka bingwa wa Dubai Marathon

Na GEOFFREY ANENE RUTH Chepng’etich ameshindia Kenya taji lake la kwanza la Dubai Marathon baada ya ukame wa miaka 12 kwa kutimka muda...

Ngelel na Mukhwana washindwa kutetea mataji Dalian Marathon

Na GEOFFREY ANENE MABINGWA wa Dalian Marathon mwaka 2017, Willy Ngelel na Ednah Mukhwana wamepoteza mataji yao kwa wakimbiaji Edwin Kibet...

Kirui kujizolea mamilioni kwa kusalia kileleni mwa jedwali

Na GEOFFREY ANENE LICHA ya kupoteza ubingwa wa mbio za Boston Marathon hapo Jumapili jioni, Mkenya Geoffrey Kirui anaongoza vita vya...

Loyanae aongoza Wakenya kutangaza ubabe Seoul Marathon

Na GEOFFREY ANENE KENYA imenyakua taji la wanaume la mbio za Seoul Marathon kupitia Wilson Loyanae na kupoteza lile la wanawake nchini...

Kiyara aunda milioni kwa muda wa saa mbili Taiwan

Na GEOFFREY ANENE MKIMBIAJI Rael Kiyara amejizolea Sh1, 012,240 baada ya kushinda mbio za New Taipei City Wan Jin Shi Marathon nchini...

Wakenya Maritim na Chebitok watawala Barcelona Marathon

Na GEOFFREY ANENE WAKENYA Anthony Maritim na Ruth Chebitok waliibuka mabingwa wapya wa mbio za Barcelona Marathon nchini Uhispania,...

Kiptanui anyakua ushindi Lisbon Half Marathon

Na GEOFFREY ANENE MKENYA Erick Kiptanui ameibuka mshindi wa mbio za Lisbon Half Marathon jijini Lisbon, Ureno, Jumapili. Kiptanui, ambaye...