Tag: matundura
- by adminleo
- January 9th, 2019
MATUNDURA: Buriani ndugu Hugholin Kimaro, Mola akulaze pema penye wema
NA BITUGI MATUNDURA MNAMO mwezi Novemba 2018, rafiki na mwanahabari Anthony Nyongesa wa Halmashauri ya Uchukuzi na Usalama (NTSA)...
- by adminleo
- September 27th, 2018
KAULI YA MATUNDURA: Kiswahili kinashuhudia mwamko mpya na wa kipekee kote duniani
NA BITUGI MATUNDURA MWAKA huu unaweza kutajwa kuwa ‘mwaka wa matumaini makuu’ kwa lugha ya Kiswahili si tu Afrika ya Mashariki na...
- by adminleo
- September 12th, 2018
KAULI YA MATUNDURA: Baraza la Kiswahili Kenya lahitaji kuungwa mkono kikamilifu
NA BITUGI MATUNDURA Mwezi uliopita, Baraza la Mawaziri la Kenya lilitoa idhini ya kubuniwa kwa Baraza la Kiswahili Kenya (BAKIKE). Hatua...
- by adminleo
- August 1st, 2018
KAULI YA MATUNDURA: Ni pigo kwa ulimwengu wa Kiswahili kumpoteza Prof Mwenda Mukuthuria
Na BITUGI MATUNDURA Mhariri. Naomba unipe idhini niitumie safu hii kumuomboleza mwalimu na rafiki yangu Prof Mwenda Mukuthuria ...
- by adminleo
- July 11th, 2018
KAULI YA MATUNDURA: Wahakiki wa Fasihi walivyombughudhi Wole Soyinka, kawaita machichidodo
Na BITUGI MATUNDURA WOLE Soyinka, Ali Mazrui , William Robert Ochieng’ na Ngugi wa Thiong’o ni wasomi ambao maoni yao yalivutia sana...
- by adminleo
- March 29th, 2018
KAULI YA MATUNDURA: Mkangi aliandika Walenisi kwa mafumbo kuepuka rungu la dola?
Na BITUGNI MATUNDURA Riwaya ya Walenisi (Katama Mkangi) ndiyo riwaya ya ‘kwanza changamano’ kuwahi kutahiniwa katika somo la fasihi...
- by adminleo
- March 16th, 2018
KAULI YA MATUNDURA: Kasumba kuwa Wapwani wanafahamu Kiswahili zaidi kuliko wenzao wa bara imepitwa na wakati
Na BITUNGI MATUNDURA MAKALA yangu, ‘Waswahili wa Bara: Je, wasomi wa pwani ‘wamepokonywa’ lugha ya Kiswahili na wenzao kutoka...