Tag: mau mau
- by T L
- March 22nd, 2022
Mashujaa wa Mau Mau waomba makahama kuu imkomoe Ruto
Na RICHARD MUNGUTI SHUJAA wa vita vya Mau Mau jana aliwasilisha katika Mahakama kuu kesi ya kumtimua kazini Naibu wa Rais Dkt William...
Kilio cha wazee wa MauMau Kirinyaga
Na SAMMY WAWERU KWA zaidi ya miaka 58 Mzee Boniface Ngacha amekuwa akiishi katika kipande cha shamba alichorithi kutoka kwa wazazi...
- by adminleo
- February 19th, 2020
Serikali yalaumiwa kusaliti Mau Mau, familia ya Kimathi
Na NICHOLAS KOMU WAHANGA wa Mau Mau pamoja na familia ya Dedan Kimathi sasa watafuatilia haki kivyao baada ya kuhisi kusalitiwa na taifa...
- by adminleo
- June 3rd, 2019
Serikali yatakiwa kusaka mabaki ya Kimathi, Samoei na Menza
Na MWANGI MUIRURI MASHUJAA wa vita vya ukombozi (Mau Mau) sasa wanamtaka Rais Uhuru Kenyatta aifanye mada kuu ya kiserikali kusaka...
- by adminleo
- June 3rd, 2019
‘Aliyemzika’ Dedan Kimathi asimulia shujaa alivyosalitiwa
Na MWANGI MUIRURI IKIWA kuna jina ambalo huheshimika zaidi katika jamii ya Agikuyu, ni lile la Dedan Kimathi ambaye alikamatwa na...
- by adminleo
- June 2nd, 2019
Mzee Kenyatta alituchezea shere kuhusu mashamba, wasema Mau Mau
Na MWANGI MUIRURI MANUSURA wa vita vya ukombozi wa taifa hili wamemtaka rais Uhuru Kenyatta awaelezee mashamba ambayo walikuwa watuzwe...
- by adminleo
- March 12th, 2019
Mau Mau walia watambuliwe kisheria kwa ‘kumwaga damu’ kuikomboa Kenya
Na PETER MBURU WAZEE wa Muungano wa Mau Mau, ambao ulipigania ukombozi wa Kenya kutoka mikononi mwa wakoloni sasa wanataka taifa...
- by adminleo
- December 13th, 2018
Mashujaa wa Mau Mau kutunukiwa mashamba
Na CHARLES WANYORO SERIKALI ya kaunti ya Embu imeanza kuwakagua wazee wanaodai kuwa walipigana katika vita vya Mau Mau, ili kubaini...
- by adminleo
- August 22nd, 2018
WANDERI: Je, matatizo yetu ni ‘laana’ ya Mau Mau?
Na WANDERI KAMAU SIKU chache kabla ya kukumbana na mauti yake, marehemu babu yangu alinieleza kuhusu masikitiko makubwa aliyokuwa nayo...
- by adminleo
- March 19th, 2018
Field Marshal Muthoni: Tusijidaganye kuwa tumepata uhuru
Na JOSEPH WANGUI Kwa ufupi: Field Marshal Muthoni asema hata Sh2,000 za kila mwezi kwa wazee walio na umri wa zaidi ya miaka 65...
- by adminleo
- February 22nd, 2018
Mau Mau wadai walificha hazina ya siri kuu Mlima Kenya, wataka kukutana na Rais Kenyatta
[caption id="attachment_1979" align="aligncenter" width="800"] Kutoka kushoto: Jenerali Kiambati, mwanawe Solomon Kiambati na Brigedia...