• Nairobi
  • Last Updated April 20th, 2024 10:55 AM

MALENGA WA WIKI: Jinsi hafla ya kumuenzi Maulidi Juma ilivyofana Rissea

Na HASSAN MUCHAI ILIKUWA ni furaha kubwa kwa mkongwe wa nyimbo za Taarab, Maulidi Juma, baada ya “kuzikwa akiwa hai” mjini Mombasa...

KINA CHA FIKIRA: Waswahili wameonyesha utu kumuenzi Maulidi Juma, shujaa wa taarab

Na KEN WALIBORA WAKEREKETWA kwa Kiswahili wamethibitisha kwa mara nyingine tena kwamba hawana hatinafsi. Hatinafsi ni uroho, ubinafsi,...

Nguli wa Kiswahili wamzuru manju stadi Maulidi Juma

Na MISHI GONGO WADAU katika fani ya usanii na lugha ya Kiswahili kutoka maeneo mbalimbali nchini, Jumamosi walikutana Mombasa kumuenzi...

Maulidi, jabali wa mipigo ya ngoma za taarabu aliyetelekezwa na jamii!

Na HASSAN MUCHAI Wakati wa ujana wake, Maulidi Juma alijawa na siha, mwenye sauti nzito, mwepesi jukwaani na aliyejaa fahamu ya matukio...