Tag: mawe
‘Athena panapochimbwa mawe ni hatari’
Na LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa kijiji cha Athena Juja, Kaunti ya Kiambu wanahofia maisha yao baada ya shimo la eneo la kuchimba mawe...
- by adminleo
- January 15th, 2020
Wataka kampuni ya mawe ifungwe
NA LAWRENCE ONGARO FAMILIA ya wakazi 500 katika kijiji cha Mukunike, Thika Mashariki wanaiomba serikali kufunga kampuni moja ya kusaga...
- by adminleo
- July 22nd, 2019
Wachimba mawe walia kuteswa
Na LAWRENCE ONGARO WAFANYAKAZI 37 katika matimbo ya mawe eneo la Juja, Kiambu wanalalamika kudhulumiwa na mwajiri wao. Wafanyakazi...
- by adminleo
- May 7th, 2019
Uchimbaji mawe eneo la Kiboko sasa ni marufuku
Na LAWRENCE ONGARO ENEO la uchimbaji mawe la Kiboko (UTI), Thika, limefungwa mara moja kwa sababu za usalama kiafya. Afisa msimamizi...
- by adminleo
- January 14th, 2019
Wakazi waandamana wakitaka kampuni ya mawe ifungwe
Na MAGDALENE WANJA Wakazi wa Kagoto eneo la Bahati katika kaunti ya Nakuru hapo waliandamana wikendi na kutaka kufungwa kwa kampuni moja...
- by adminleo
- June 6th, 2018
Wanaharakati wapinga uchimbaji wa makaa ya mawe Lamu
KALUME KAZUNGU na WYCLIFFE MUIA WANAHARAKATI Jumanne waliandamana jijini Nairobi kupinga uchimbaji wa madini ya makaa ya mawe (coal)...
- by adminleo
- February 21st, 2018
Msafara wa Naibu wa Joho washambuliwa kupinga vioski kubomolewa
[caption id="attachment_1951" align="aligncenter" width="800"] Baadhi ya magari ya kaunti ya Mombasa yaliyopigwa mawe na vijana kutoka eneo...