Tag: mazishi
- by adminleo
- February 12th, 2020
Rais Mstaafu Daniel Arap Moi azikwa nyumbani Kabarak
Na SAMMY WAWERU MIAKA 42 iliyopita, taifa lilimpoteza Rais Mwanzilishi wa Jamhuri ya Kenya ndiye Mzee Jomo Kenyatta. Rais huyo wa...
- by adminleo
- February 12th, 2020
Ndege iliyobeba mwili wa Rais Mstaafu Moi yawasili Kabarak
Na SAMMY WAWERU MWILI wa Rais wa pili wa Jamhuri ya Kenya Daniel Toroitich Arap Moi umesafirishwa kwa ndege ya kijeshi kutoka Nairobi...
- by adminleo
- February 12th, 2020
Ni mavazi ya KANU pekee yataruhusiwa kwa mazishi ya Moi – Serikali
Na CHARLES WASONGA WAKENYA wameonywa dhidi ya kuvalia mavazi yenye rangi za vyama vya kisiasa watakapohudhuria hafla ya mazishi ya...
- by adminleo
- February 6th, 2020
Serikali yatangaza Jumanne siku ya mapumziko Wakenya waomboleze Moi, mazishi kufanyika kesho yake
Na CHARLES WASONGA SERIKALI imetangaza Jumanne, Februari 11, 2020, kuwa siku ya mapumziko kuwapa Wakenya nafasi kuomboleza Rais Mstaafu...
- by adminleo
- February 4th, 2020
Moi kupewa mazishi ya taadhima kuu
Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta ametangaza kipindi cha maombolezo ya kitaifa kufuatia kifo cha Rais wa zamani Daniel Arap Moi...
- by adminleo
- January 10th, 2020
‘Afufuka’ siku yake ya kuzikwa
Na GEORGE MUNENE HUZUNI iligeuka kuwa furaha Alhamisi katika kijiji cha Gitaugu, eneo la Mbeere Kusini, Kaunti ya Embu, baada ya...
- by adminleo
- October 3rd, 2019
Waahirisha mazishi hadi shemeji alipe deni
Na JOHN NJOROGE KISANGA kilizuka Elburgon, Kaunti ya Nakuru wakati familia ilipoahirisha mazishi ya mpendwa wao hadi shemeji yake alipe...
- by adminleo
- August 6th, 2019
Wasia wa mfu utakuwa ukizingatiwa utata ukiibuka – Mahakama
NA MAUREEN KAKAH MAHAKAMA Kuu juzi ilitoa uamuzi ambao unaheshimu wasia wa marehemu kuhusu anakofaa kuzikwa iwapo utata utaibuka na...
- by adminleo
- August 5th, 2019
‘Afufuka’ kabla ya kuzikwa
NA GEORGE ODIWUOR KIJIJI cha Godmiaha, eneo la Rachuonyo Mashariki, Kaunti ya Homa Bay kiligeuka uwanja wa kioja Jumamosi wakati...
- by adminleo
- August 1st, 2019
Majambazi wavamia waombolezaji na kuiba pesa za mazishi
WAIKWA MAINA na BENSON AMADALA FAMILIA moja inayoomboleza kifo cha mpendwa wao katika eneobunge la Kinangop, Kaunti ya Nyandarua,...
- by adminleo
- July 30th, 2019
Idadi ya waliouawa kwenye shambulizi la Boko Haram mazishini yaongezeka
Na AFP na MARY WANGARI WATU 65 waliokuwa wakihudhuria mazishi walifariki mnamo Jumamosi, 27, kufuatia shambulizi la kigaidi...
- by adminleo
- July 11th, 2019
Kanisa la Anglikana Mumias lapiga marufuku mazishi ya wikendi
Na SHABAN MAKOKHA [email protected] KANISA la Aglikana Dayosisi ya Mumias limepiga marufuku shughuli za mazishi wikendi...