Tag: MAZISHINI
Maangi na Osoro wakamatwa katika mazishi ya Nyachae
Na SAMMY WAWERU Mbunge wa Mugirango Kusini, Bw Silvanus Osoro na Naibu Gavana wa Kisii Joash Maangi wamekamatwa na maafisa wa polisi...
Dkt Mutua awataka wanasiasa kuheshimu familia za waliofiwa
Na SAMMY WAWERU Gavana wa Machakos Dkt Alfred Mutua amewakashifu vikali viongozi na wanasiasa wanaoendesha siasa katika hafla za...
Matamshi ya Arati yalinikera, pikipiki yangu ilichomwa 2007, Osoro sasa ajitetea
Na SAMMY WAWERU Mbunge wa Mugirango Kusini Silvanus Osoro amejitetea kuhusu kisa ambapo alipigana hadharani na mwenzake wa Dagoretti...
Aibu wabunge wakilimana makonde mazishini
Na SAMMY WAWERU Hafla ya mazishi ya babake Naibu Gavana wa Kisii, Bw Joash Maangi, Mzee Abel Gongera Jumatatu iligeuka kuwa ukumbi wa...
Wanasiasa wakosa adabu mazikoni
Na KITAVI MUTUA WANASIASA mnamo Jumanne waligeuza mazishi ya Seneta Boniface Kabaka wa Machakos kuwa jukwaa la kurushiana cheche za...
- by adminleo
- December 14th, 2018
Kizaazaa muuaji wa marehemu kujitokeza mazishini
Na MAGDALENE WANJA Kizaazaa kilitibuka katika makaburi ya Wanyororo eneo la Bahati, kaunti ya Nakuru siku ya Alhamisi wakati wa...
- by adminleo
- October 4th, 2018
Wakenya washauriwa kuchukua bima ya mazishi
Na BERNARDINE MUTANU WAKENYA wameombwa kuchukua bima ya mazishi ili kuwafaa zaidi wanapopatwa na msiba. Shirikisho la Watoaji Bima nchini...
- by adminleo
- May 14th, 2018
Jombi aumia mazishini aking’ang’ania chakula
Na TOBBIE WEKESA SHIANDA, KAKAMEGA Kalameni mmoja eneo hili alipata majeraha usoni alipogongwa kwa sahani na jamaa mmoja...