Tag: misitu
- by adminleo
- March 7th, 2019
MUTANU: Serikali isilegeze kamba katika uhifadhi wa misitu
Na BERNARDINE MUTANU VIWANGO vya joto vimezidi nchini na vitaendelea kushuhudiwa nchini hadi mvua ya masika ianze kunyesha. Lakini...
- by adminleo
- September 10th, 2018
Ogiek waapa kuunga mkono uhifadhi wa msitu wa Mau
FRANCIS MUREITHI na JOHN NJOROGE WAKAZI zaidi ya 5,000 wa jamii ya Ogiek wanaoishi mashariki mwa msitu wa Mau, wameapa kuunga mkono...
- by adminleo
- September 8th, 2018
UKATAJI MITI: Bei ghali ya mafuta inavyotishia misitu
Na FAUSTINE NGILA WAKATI serikali ilipopiga marufuku ukataji wa miti nchini, nia yake ilikuwa kulinda misitu, wanyama na vyanzo vya...
- by adminleo
- July 12th, 2018
Serikali yatakiwa kutaja wanyakuzi wa msitu wa Mau
GEORGE SAYAGIE na PATRICK LANG’AT SERIKALI inaendelea kukabiliwa na shinikizo za kuwafichua na kuwashtaki mabwenyenye walionyakua...
- by adminleo
- May 13th, 2018
#PandaMitiPendaKenya: Safari ya kupanda miti 1.8 bilioni yang’oa nanga
Na WAANDISHI WETU RAIS Uhuru Kenyatta Jumamosi alizindua kampeni kubwa ya kupanda miti takriban 1.8 bilioni kote nchini katika muda wa...
- by adminleo
- April 9th, 2018
MAKALA MAALUM: Wageukia magari ya serikali kusafirisha miti ili wasikamatwe
Na BERNADINE MUTANU TANGU kupigwa marufuku kwa ukataji wa miti na uchomaji makaa, wafamyibiashara wa bidhaa hizo wamelazimika kuja na...
- by adminleo
- April 2nd, 2018
Wakazi wa Lamu watakiwa kupanda miti maeneo wanakoishi
NA KALUME KAZUNGU SHIRIKA la Uhifadhi wa Misitu (KFS) katika Kaunti ya Lamu limehimiza wakazi kujihusisha na upanzi wa miti kwenye maeneo...
- by adminleo
- March 28th, 2018
‘Si lazima ukate miti ndipo uchome makaa’
Na PAULINE ONGAJI KATIKA enzi hizi ambapo kumekuwa na uharibifu wa mazingira kwa sababu ya ukataji miti, anatoa suluhu kwa kuunda makaa...
- by adminleo
- March 27th, 2018
Biashara haramu ya makaa inayowafaidi Al-Shabaab msituni Boni yazimwa
NA KALUME KAZUNGU MAAFISA wa usalama katika kaunti ya Lamu wamefichua kuwa biashara haramu ya makaa na upasuaji mbao unaoendelezwa kwenye...
- by adminleo
- March 7th, 2018
Hatari nchi kugeuzwa jangwa kufuatia ukataji wa miti kiholela
Na BENSON MATHEKA KENYA inakabiliwa na hatari ya kugeuka jangwa ikiwa ukataji miti kiholela, uchomaji makaa na uzoaji changarawe mitoni...
- by adminleo
- March 6th, 2018
Watu kadhaa wanaswa kuhusu ukataji wa miti
Na BARNABAS BII TAASISI ya Huduma za Misitu (KFS) Jumapili ilinasa watu kadhaa waliopatikana wakikata miti kiharamu katika Msitu wa...
- by adminleo
- March 2nd, 2018
Tobiko aunda jopokazi la kulinda misitu
Na BERNARDINE MUTANU WAZIRI wa Mazingira Keriako Tobiko ameunda jopokazi la kusimamia misitu nchini. Miongoni mwa wanakamati wa jopo hilo...