• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 10:08 PM

Mashtaka ya uchochezi dhidi ya Kuria yafutwa

Na RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) Jumatatu alitia kikomo ushahidi dhidi ya Mbunge wa Gatundu kusini Moses Kuria...

MOSES KURIA: Hachoki kujikwaa ulimi kila mara akitafuta lango la Ikulu

Na MWANGI MUIRURI MBUNGE wa Gatundu Kusini Moses Kuria akiwakilisha kijiji ambacho kina boma la Rais Uhuru Kenyatta cha Ichaweri sio...

Pesa nilizoweka kwa nyumba nitanunua ‘mathwiti na makeki’- Kuria

Na PETER MBURU MBUNGE wa Gatundu Kusini Moses Kuria sasa ameanza kuwakejeli watu anaosema walikuwa wamehifadhi mabunda ya pesa nyumbani...

TNA wamkana mwasisi Moses Kuria

Na LEONARD ONYANGO CHAMA kipya cha Transformation National Alliance Party (TNAP) sasa kimejitenga na mbunge wa Gatundu Kusini Moses...

Kuria akaangwa kusajili TNA

Na NDUNGU GACHANE MAGAVANA wawili na wabunge wanne wa Mlima Kenya wamemshutumu vikali Mbunge wa Gatundu Kusini, Moses Kuria kwa kubuni...

Kuria sasa asajili TNA

Na NDUNGU GACHANE MBUNGE wa Gatundu Kusini, Moses Kuria, amefufua kumbukumbu za chama cha The National Party Alliance (TNA), kwa kuunda...

Mlima Kenya utahama Jubilee – Moses Kuria

Na NDUNGU GACHANE MIVUTANO katika Chama cha Jubilee umezidi kutokota huku Mbunge wa Gatundu Kusini akitangaza mipango ya kuunda chama...

Kuria aelezea kukerwa na malumbano ya Ruto na Raila

Na CHARLES WASONGA MBUNGE wa Gatundu Kusini Moses Kuria amejitokeza kuwakejeli kinara wa chama cha ODM Raila Odinga na Naibu Rais Dkt...

Mkataba wa Uhuru na Museveni utageuza Kenya mateka wa Uganda – Kuria

RUTH MBULA na SHABAN MAKOKHA VIONGOZI kadhaa nchini wameeleza wasiwasi wao kuhusu makubaliano kati ya Rais Uhuru Kenyatta na mwenzake wa...

Usitishwe na mbio za Kuria, Ruto aambiwa

Na ALEX NJERU WANASIASA wa Mlima Kenya wanaomuunga mkono Naibu Rais William Ruto, Ijumaa walimpuuza mbunge wa Gatundu Kusini Moses...

Polisi washindwa kueleza jinsi matamshi ya Kuria yangezua ghasia

Na RICHARD MUNGUTI MAAFISA wawili wa PolisiĀ  wameshindwa kueleza jinsi matamshi ya mbunge wa Gatundu Kusini Moses Kuria kumhusu...

Sahau urais wenye mamlaka makuu, Kuria aambia Ruto

Na CHARLES WASONGA MBUNGE wa Gatundu Moses Kuria amemtaka Naibu Rais William Ruto kusahau urais wenye mamlaka ilivyo kwa sasa akisema...