Tag: moses kuria
- by adminleo
- June 10th, 2019
Mashtaka ya uchochezi dhidi ya Kuria yafutwa
Na RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) Jumatatu alitia kikomo ushahidi dhidi ya Mbunge wa Gatundu kusini Moses Kuria...
- by adminleo
- June 6th, 2019
MOSES KURIA: Hachoki kujikwaa ulimi kila mara akitafuta lango la Ikulu
Na MWANGI MUIRURI MBUNGE wa Gatundu Kusini Moses Kuria akiwakilisha kijiji ambacho kina boma la Rais Uhuru Kenyatta cha Ichaweri sio...
- by adminleo
- June 4th, 2019
Pesa nilizoweka kwa nyumba nitanunua ‘mathwiti na makeki’- Kuria
Na PETER MBURU MBUNGE wa Gatundu Kusini Moses Kuria sasa ameanza kuwakejeli watu anaosema walikuwa wamehifadhi mabunda ya pesa nyumbani...
- by adminleo
- May 7th, 2019
TNA wamkana mwasisi Moses Kuria
Na LEONARD ONYANGO CHAMA kipya cha Transformation National Alliance Party (TNAP) sasa kimejitenga na mbunge wa Gatundu Kusini Moses...
- by adminleo
- April 30th, 2019
Kuria akaangwa kusajili TNA
Na NDUNGU GACHANE MAGAVANA wawili na wabunge wanne wa Mlima Kenya wamemshutumu vikali Mbunge wa Gatundu Kusini, Moses Kuria kwa kubuni...
- by adminleo
- April 28th, 2019
Kuria sasa asajili TNA
Na NDUNGU GACHANE MBUNGE wa Gatundu Kusini, Moses Kuria, amefufua kumbukumbu za chama cha The National Party Alliance (TNA), kwa kuunda...
- by adminleo
- April 15th, 2019
Mlima Kenya utahama Jubilee – Moses Kuria
Na NDUNGU GACHANE MIVUTANO katika Chama cha Jubilee umezidi kutokota huku Mbunge wa Gatundu Kusini akitangaza mipango ya kuunda chama...
- by adminleo
- April 11th, 2019
Kuria aelezea kukerwa na malumbano ya Ruto na Raila
Na CHARLES WASONGA MBUNGE wa Gatundu Kusini Moses Kuria amejitokeza kuwakejeli kinara wa chama cha ODM Raila Odinga na Naibu Rais Dkt...
- by adminleo
- March 31st, 2019
Mkataba wa Uhuru na Museveni utageuza Kenya mateka wa Uganda – Kuria
RUTH MBULA na SHABAN MAKOKHA VIONGOZI kadhaa nchini wameeleza wasiwasi wao kuhusu makubaliano kati ya Rais Uhuru Kenyatta na mwenzake wa...
- by adminleo
- February 24th, 2019
Usitishwe na mbio za Kuria, Ruto aambiwa
Na ALEX NJERU WANASIASA wa Mlima Kenya wanaomuunga mkono Naibu Rais William Ruto, Ijumaa walimpuuza mbunge wa Gatundu Kusini Moses...
- by adminleo
- February 13th, 2019
Polisi washindwa kueleza jinsi matamshi ya Kuria yangezua ghasia
Na RICHARD MUNGUTI MAAFISA wawili wa PolisiĀ wameshindwa kueleza jinsi matamshi ya mbunge wa Gatundu Kusini Moses Kuria kumhusu...
- by adminleo
- February 11th, 2019
Sahau urais wenye mamlaka makuu, Kuria aambia Ruto
Na CHARLES WASONGA MBUNGE wa Gatundu Moses Kuria amemtaka Naibu Rais William Ruto kusahau urais wenye mamlaka ilivyo kwa sasa akisema...