• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 9:15 PM

KCPE: Wanafunzi wawili Kwale wafanyia mtihani wao hospitalini wakitarajia kujifungua

NA SIAGO CECE WATAHINIWA wawili kati ya 4,243 wanaofanya mtihani wao wa kitaifa wa Darasa la Nane (KCPE) jana Jumatatu katika kaunti...

Ruto kuhudhuria sherehe za ushindi Msambweni leo

Na BRIAN OCHARO NAIBU Rais William Ruto anatarajiwa kuzuru kaunti ya Kwale kuongoza sherehe za ushindi wa Mbunge wa Msambweni Feisal...

Ruto akutana na Feisal baada ya kushinda kiti cha Msambweni

 Na CHARLES WASONGA NAIBU Rais William Ruto Jumatano alifanya mkutano na viongozi wa mashinani kutoka eneo bunge la Msambweni...

CHARLES WASONGA: Matokeo ya Msambweni yasihusishwe na BBI wala kura za 2022

Na CHARLES WASONGA KWA mujibu wa kipengele cha 38 (2) cha Katiba ya sasa, ni haki ya kila Mkenya kufanya maamuzi yake ya kisiasa kwa...

Ruto, Raila wachafua Msambweni

MOHAMED AHMED NA FADHILI FREDRICK GHASIA zilizoshuhudiwa mwaka 2019 kwenye uchaguzi mdogo wa Kibra jijini Nairobi kati ya wafuasi wa...

JAMVI: Uungwaji mkono na Rais wamweka Boga pazuri

Na MOHAMED AHMED KARATA za kisiasa zinazochezwa na Gavana wa Mombasa Hassan Joho katika kampeni za uchaguzi mdogo wa Msambweni...

ODM kifua mbele Msambweni – Utafiti

Na MOHAMED AHMED MWANIAJI ubunge katika eneo la Mswambweni kwa tiketi ya chama cha ODM, Bw Omar Boga, angeibuka mshindi ikiwa uchaguzi...

Joho apiga kampeni vijijini Msambweni

Na FADHILI FREDRICK GAVANA wa Mombasa Ali Hassan Joho ameanza kampeni za nyumba kwa nyumba, katika juhudi za kuhakikisha mwaniaji wa ODM...

Mvurya aunga mkono mgombeaji wa Ruto Msambweni

Na MOHAMED AHMED GAVANA wa Kwale, Salim Mvurya, amejitosa katika kampeni za uchaguzi mdogo wa kiti cha ubunge cha Msambweni kwa kumuunga...

Msinidharau Mswambweni – Kalonzo

Na CECIL ODONGO KINARA wa Chama cha Wiper, Kalonzo Musyoka jana alipuzilia mbali wanaodai kwamba kiny’ang’anyiro cha kuwania ubunge...

Ruto aunganisha wawaniaji wa kiti kukabili ODM Msambweni

Na MOHAMED AHMED NAIBU Rais William Ruto amewaunganisha wawaniaji wa kiti cha ubunge cha Msambweni nyuma ya Feisal Bader, ili kumkabili...

Raila asema ODM tayari kuonyesha wapinzani kivumbi Msambweni

Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa ODM Raila Odinga amewaambia wapinzani wa chama hicho katika kinyang’anyiro cha kuwania kiti cha ubunge...