Tag: mukuru
- by T L
- November 8th, 2022
Mke wa Rais, mke wa DP wazindua mpango wa usambazaji chakula Mukuru
NA SAMMY KIMATU MKEWE Rais William Ruto na mkewe naibu wa rais Bw Rigathi Gachagua, Bi Rachel Ruto na Pasta Dorcas Wanjiku Gachagua...
- by T L
- February 21st, 2022
Wakazi wa mitaa sita ya Mukuru wahangaika kupata maji kwa zaidi ya wiki moja
Na SAMMY KIMATU WAKAZI katika mtaa wa mabanda wa Mukuru-Kwa Reuben ulioko katika kaunti ndogo ya Embakasi Kusini wanahangaika kwa kukosa...
Familia 12,000 Mukuru zapoteza makao serikali ikiunda barabara mpya
Na SAMMY KIMATU ZAIDI ya watu 12,000 watakosa makao yao ili kubisha nafasi ya ujenzi wa barabara za lami na nyumba za kudumu...
Familia yataka ripoti ya daktari kuhusu mtoto wao aliyefariki
Na SAMMY KIMATU [email protected] MTOTO wa umri wa miaka tisa alifariki Jumatano katika kisa chenye utata katika mtaa mmoja...
- by adminleo
- March 18th, 2020
CORONA: Maisha mitaa ya mabanda ni kawaida
SAMMY KIMATU Na EUNICE MURATHE HUKU hatari ya virusi vya corona ikitishia kulemaza maisha ya kawaida, baadhi ya watu wanaendelea kupuuza...
- by adminleo
- February 24th, 2020
Jinsi ving’ora vilivyochanganya wakazi
Na Sammy Kimatu [email protected] HOFU ilitanda katika mitaa ya mabanda ya Mukuru-Sinai sawia na Mukuru-Lunga Lunga baada ya...
- by adminleo
- February 24th, 2020
Wawili wauawa na umeme Mukuru
Na SAMMY KIMATU WATU wawili wamefariki baada ya kupigwa na stima umeme katika mitaa miwili ya Mukuru ilioko kaunti ya Nairobi...
- by adminleo
- September 3rd, 2019
Nyumba 60 zateketea Mukuru-Kayaba
Na SAMMY KIMATU FAMILIA zaidi ya 50 zilikesha nje penye baridi baada ya moto mkubwa kuteketeza nyumba 60 Jumatatu usiku. Moto huo,...
- by adminleo
- May 15th, 2018
Uchafu kwenye mazingira ulivyozidisha athari za mafuriko mitaani
Na SAMMY KIMATU MVUA ni baraka na Wakenya wamekuwa wakiiomba inyeshe baada ya kushuhudiwa mahangaiko yaliyosababishwa na ukame na...