Tag: mvua
- by adminleo
- November 30th, 2019
‘Mvua iliyopitiliza kiwango kuendelea kunyesha hadi Desemba 4’
Na CHARLES WASONGA IDARA ya Utabiri wa Hali ya Hewa imetangaza mvua iliyopitiliza kiwango itaendelea kushuhudiwa maeneo ya South Rift,...
- by adminleo
- November 25th, 2019
Maafa zaidi
Na WAANDISHI WETU WAOKOAJI Jumapili waliendelea kusaka miili ya watu 22 wasiojulikana waliko, baada ya maporomoko ya ardhi yaliyoua watu...
- by adminleo
- November 24th, 2019
TAHARIRI: Wahanga wa mkasa wa maporomoko Pokot wasaidiwe
NA MHARIRI Mkasa uliotokea Kaunti ya Pokot Magharibi ambapo watu 37 wanahofiwa kuzikwa na maporomoko ya ardhi usiku unasikitisha jinsi...
- by adminleo
- November 24th, 2019
37 wazikwa hai
Na OSCAR KAKAI na BENSON MATHEKA Novemba 22 2019: Watu watatu wasombwa na maji katika visa viwili tofauti Mbooni, Makuen Oktoba 30...
- by adminleo
- November 20th, 2019
Mvua iliyopitiliza kiwango yatarajiwa wiki hii – idara ya utabiri wa hali ya hewa
Na BENSON MATHEKA WAKENYA wameonywa kujiandaa kwa mvua iliyopitiliza kiwango wiki hii kutokana na kiwango cha joto kuongezeka katika...
- by adminleo
- November 13th, 2019
Hofu ya maafa mvua ikizidi maeneo mbalimbali nchini
BENSON MATHEKA na DIANA MUTHEU Mvua kubwa inayoendelea kunyesha sehemu kadhaa nchini imeathiri shughuli huku hofu ya kuzuka kwa maradhi...
- by adminleo
- November 12th, 2019
Mvua yasababisha moto Hospitali Kuu ya Pwani
Na MISHI GONGO MTAFARUKU ulizuka kwa muda katika Hospitali Kuu ya Pwani mjini Mombasa, baada ya moto kuzuka kutoka kwa swichi kuu ya...
- by adminleo
- November 7th, 2019
Jiandae kwa mvua kubwa mwezi huu
Na COLLINS OMULO IDARA ya Kitaifa kuhusu Utabiri wa Hali ya Anga (KMD), imewatahadharisha Wakenya kujiandaa kwa mvua kubwa zaidi mwezi...
- by adminleo
- October 28th, 2019
Mvua yatarajiwa kwingi mtihani wa KCPE ukianza
Na WAANDISHI WETU MVUA inatarajiwa leo Jumatatu asubuhi katika maeneo mengi ya nchi wakati watahiniwa wa Mtihani wa Kitaifa wa Shule za...
- by adminleo
- October 21st, 2019
Mvua iliyopitiliza kiwango imesababisha vifo vya zaidi ya watu 10, yasema idara husika
Na CHARLES WASONGA MVUA iliyopitiliza kiwango inayoendelea kushuhudiwa maeneo mbalimbali nchini imesabisha vifo vya zaidi ya watu 10...
- by adminleo
- October 14th, 2019
Mvua iliyopitiliza kiwango yaendelea kushuhudiwa katika maeneo mengi nchini
Na FARHIYA HUSSEIN, ALEX NJERU na CHARLES WASONGA MVUA kubwa itaendelea kushuhudiwa nchini, imesema idara ya utabiri wa hali ya hewa,...
- by adminleo
- September 10th, 2019
Mvua kubwa itaendelea kunyesha nchini – Idara
Na Siago Cece MVUA kubwa inaendelea kushuhudiwa katika maeneo tofauti nchini ikiwemo sehemu za Nairobi, Kisumu, Bonde la Ufa, Magharibi...