Tag: mwilu
Mwilu alalamikia rundo la kesi kortini
Na RUSHDIE OUDIA KAIMU Jaji Mkuu, Philomena Mwilu, ameelezea kutamaushwa kwake na kuongezeka kwa kesi ambazo hazijasikizwa...
Jaji aliyemzima Mwilu amrudisha kuwa Kaimu Jaji Mkuu
Na RICHARD MUNGUTI KAIMU Jaji Mkuu Philomena Mbete Mwilu amerudishwa kazini baada ya Mahakama Kuu ya Meru kusitisha maagizo iliyotoa...
Kutimuliwa kwa kaimu Jaji Mkuu Philomena Mwilu kuna athari kadha
Na CHARLES WASONGA AGIZO la Mahakama Kuu ya Meru kwamba Naibu Jaji Mkuu Philomena Mwilu ni sharti akome kuhudumu kama Kaimu Jaji Mkuu...
Mwilu mwanamke wa kwanza kuteuliwa kaimu Jaji Mkuu
Na RICHARD MUNGUTI NAIBU wa Jaji Mkuu Philomena Mbete Mwilu ndiye jaji mwanamke wa kwanza katika historia ya nchi kuteuliwa kuwa kaimu...
Afueni kwa Jaji Mwilu kesi ya kumtimua ikisitishwa
Na RICHARD MUNGUTI NAIBU Jaji Mkuu Philomena Mwilu alipata afueni Ijumaa Mahakama Kuu ilipozima hatua ya Tume ya Kuajiri Watumishi wa...
Mahakama yazima JSC kuchunguza Jaji Mwilu
Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA Kuu, IJumaa imezuia hatua ya Tume ya Huduma ya Mahakama (JSC) kuanza kusikiza ombi la kutaka Naibu Jaji Mkuu...
Kesi ya Jaji Mwilu yajikokota Maraga akikaribia kustaafu
WANJOHI GITHAE na IBRAHIM ORUKO TUME ya Huduma za Mahakama (JSC) bado haijasikia kesi nne dhidi ya Naibu Jaji Mkuu Philomena Mwilu,...
- by adminleo
- January 25th, 2019
Wakili kutoka Uingereza aruhusiwa kuongoza mashtaka dhidi ya Mwilu
Na RICHARD MUNGUTI MAJAJI watano wa mahakama kuu Alhamisi walimruhusu wakili kutoka Uingereza Profesa Khawar Qureshi kuongoza kesi ya...
- by adminleo
- December 10th, 2018
KESI YA MWILU: Mwanasheria wa Uingereza apigwa breki
Na RICHARD MUNGUTI MAJAJI watano wa Mahakama kuu wamemzuia mtaalam wa masuala ya kisheria kutoka Uingereza (QC) Profesa Khawar Qureshi...
- by adminleo
- October 22nd, 2018
Jopo lateuliwa kupima mamlaka ya DPP
Na RICHARD MUNGUTI KATIKA historia ya nchi hii hakuna jaji amewahi kamatwa na kushtakiwa kabla ya kuhojiwa na tume ya kuajiri idara ya...
- by adminleo
- October 17th, 2018
Kesi ya Mwilu kuamuliwa na majaji watatu
Na RICHARD MUNGUTI HATIMA ya kesi ya kushtakiwa kwa na ufisadi kwa Naibu wa Jaji Mkuu (DCJ) Philomena Mwilu sasa iko mikononi mwa majaji...
- by adminleo
- October 11th, 2018
Juhudi za Naibu DPP kuhusu kesi ya Mwilu zaambulia pakavu
Na RICHARD MUNGUTI JARIBIO la naibu wa Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP) Bi Dorcus Oduor la kutaka agizo linalozuia kushtakiwa kwa...