• Nairobi
  • Last Updated April 16th, 2024 2:18 PM

Ni mavazi ya KANU pekee yataruhusiwa kwa mazishi ya Moi – Serikali

Na CHARLES WASONGA WAKENYA wameonywa dhidi ya kuvalia mavazi yenye rangi za vyama vya kisiasa watakapohudhuria hafla ya mazishi ya...

Moi alipotoweka kwa wiki moja…

Na PETER NGARE TAHARUKI ilizuka nchini mnamo Februari 1995 wakati aliyekuwa rais Daniel arap Moi alipotoweka hadharani kwa wiki...

Wania urais 2022, mawaziri wa zamani wamshauri Gideon Moi

Na LEONARD ONYANGO VIONGOZI waliohudumu katika serikali ya Rais Mstaafu Daniel arap Moi sasa wanamtaka mwanawe Seneta wa Baringo Gideon...

Jinsi nilivyomwokoa Moi alipostaafu – Francis ole Kaparo

Na LEONARD ONYANGO ALIYEKUWA Spika wa Bunge Francis Ole Kaparo amefichua alivyomnusuru Rais Mstaafu Daniel arap Moi dhidi ya kufurushwa...

Mabasi 34 kusafirisha wakazi wa Baringo kuaga Moi

Na FLORAH KOECH MABASI 34 yatatumika kusafirisha wakazi wa Kaunti ya Baringo hadi uwanja wa kitaifa wa Nyayo, Nairobi na Kabarak, Nakuru...

Hezekiah Oyugi: Katibu aliyepigiwa saluti na wakuu wa wilaya wakipokea simu zake

Na PETER NGARE ALIYEKUWA Katibu wa Wizara ya Usalama wa Ndani wakati wa utawala wa Mzee Daniel Arap Moi, Hezekiah Oyugi anakumbukwa na...

Serikali kusafirisha waombolezaji hadi Kabarak

NA ERICK MATARA SERIKALI imetangaza kwamba mipango yote ya mazishi ya Rais wa pili wa Kenya Daniel Arap Moi yanayotarajiwa kufanyika...

Asili ya Mzee Moi ni Mlima Kenya – Serikali

Na VALENTINE OBARA ASILI ya Rais wa pili wa Kenya Daniel arap Moi ilikuwa ni Mlima Kenya kulingana na tovuti mpya ya serikali...

Mwili wa Moi kuwasili uwanja wa Nyayo saa nne asubuhi

Na CHARLES WASONGA MWILI wa Rais wa zamani Daniel Arap Moi utawasili katika uwanja wa Nyayo, Nairobi kwa ibada ya wafu mwendo wa saa nne...

Jumla ya Wakenya 213,000 watazama mwili wa Moi

Na CHARLES WASONGA JUMLA ya Wakenya 213,000 walipata fursa ya kutizama mwili wa Rais wa zamani Marehemu Daniel Arap Moi shughuli hiyo...

Hatimaye Raila atazama mwili wa Moi

Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa ODM Raila Odinga Jumatatu aliungana na Wakenya kutoa heshima zake za mwisho kwa Rais wa zamani marehemu...

Rafiki asimulia siku Moi alihofiwa kufariki ajalini

 WYCLIFF KIPSANG na FLORAH KOECH RAIS Mstaafu Daniel Arap Moi alihusika katika ajali alipokuwa akielekea Nairobi mara ya kwanza...