• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 7:55 AM

Pendekezo Nakuru iwe jiji kujadiliwa na Seneti

Na IBRAHIM ORUKO MJI wa Nakuru huenda ukawa jiji la nne nchini ikiwa maseneta wataidhinisha pendekezo la serikali ya kaunti kutaka...

Mwanamume mwenye bashasha amuua mkewe

NA MERCY KOSKEY SIMANZI imekumba mtaa wa Free Area mjini Nakuru baada ya mwanamume mmoja kudaiwa kumnyonga mkewe hadi kufa hapo...

Changamoto za mji wa Nakuru katika azma ya kuwa jiji

NA RICHARD MAOSI Miundomsingi duni inazidi kulemaza azma ya Kaunti ya Nakuru kupata hadhi ya kuwa jiji kuu ifikapo mwisho wa mwaka...

Miaka 10 baadaye, soko la Free Area, Nakuru halijakamilika

NA RICHARD MAOSI SOKO aliloanzisha Rais Uhuru Kenyatta akiwa waziri wa fedha mnamo 2009, katika eneo la Free Area, Kaunti ya Nakuru,...

Wito Nakuru ipandishiwe hadhi kuwa jiji

Na ERIC MATARA GAVANA wa Nakuru Lee Kinyanjui ametetea juhudi zake za kutaka mji wa Nakuru upandishwe hadhi na kuwa jiji. Chama cha...

AKILIMALI: Amebuni ajira kwa vijana wenzake kwa kuanzisha kituo cha runinga

Na FRANCIS MUREITHI HUKU serikali za kaunti zikifurahia matunda ya ugatuzi, kijana mwenye uchu wa kufanya biashara, amebadilisha ajenda 14...

VIWANDA NAKURU: Kampuni zilivyofungwa kwa kulemewa na madeni

NA RICHARD MAOSI MJI wa Nakuru unapojizatiti kupata hadhi ya kuwa jiji, vijana wengi bado hawana jambo la kujivunia kwa sababu ya...

URODA KWA FOLENI: Je, ni rahisi kuacha ukahaba?

NA MWANDISHI WETU SIO mara ya kwanza kwa mji wa Nakuru kugonga vichwa vya habari kutokana na biashara ya ukahaba inayoendeshwa na...

Asili ya majina ya ajabu ya mitaa mjini Nakuru

Na PHYLIS MUSASIA NI kawaida kusikia miji yenye majina ya kushangaza. Kwa mfano mji wa Mombasa una mitaa kama Mwembe Tayari, Dongo...

Msako mkali Nakuru baada ya wakazi kulishwa paka

Na ERCI MATARA SIKU moja baada ya mwanamume mmoja mjini Nakuru kufungwa jela miaka mitatu kwa kuchinja na kuuza nyama ya paka, maafisa...

Baba mkwe wa mwanamke aliyegongwa na Pasta Ng’anga asema anahofia maisha yake

Na ERIC WAINAINA BABA MKWEWE Bi Mercy Njeri, ambaye alifariki baada ya kugongwa na gari la mhubiri James Ng’ang’a amedai kwamba...

Baada ya mkasa wa Solai, maelfu sasa wanaishi kwa hofu

NA PETER MBURU Mkasa wa bwawa la Solai ambao uliwaua zaidi ya watu 40 sasa umeamsha hofu ya miaka mingi baina ya maelfu ya wakazi wa...