Tag: ncpb
- by T L
- January 4th, 2022
NCPB yakana inauza mbolea duni
Na RICHARD MUNGUTI USAMBAZAJI wa mbolea ya bei ya chini kwa wakulima eneo la Rift Valley umekumbwa na changa moto huku wafanya biashara...
NCPB yaahidi kuboresha huduma kwa wakulima wa mahindi
NA RICHARD MAOSI Ni habari njema kwa wakulima wa mahindi katika eneo la Bonde la Ufa baada ya Bodi ya Kitaifa ya Mazao na Nafaka...
Wakulima wataka NCPB ipewe fedha
STANLEY KIMUGE na WYCLIFF KIPSANG WAKULIMA wa mahindi eneo la Bonde la Ufa wametoa wito kwa serikali kuharakisha kutoa pesa kwa Bodi ya...
- by adminleo
- June 18th, 2019
Serikali yatoa magunia 600,000 kupunguza bei ya unga
Na BERNARDINE MUTANU Hifadhi ya Kitaifa ya Nafaka na Mazao (NCPB) imetoa magunia 600,000 ya mahindi kwa wasagaji wa unga baada ya...
- by adminleo
- April 1st, 2019
Wakulima walia kuhangaishwa kupata mbegu na mbolea
RICHARD MAOSI NA KEVIN ROTICH WAKULIMA kutoka Kaunti za Nakuru na Kericho wameomba serikali iwapunguzie gharama ya mbolea na mbegu...
- by adminleo
- March 12th, 2019
NCPB yatumia Sh6.8 bilioni kununua mahindi
NA BARNABAS BII BODI ya Kitaifa ya Nafaka na Mazao (NCPB) imetumia Sh6.8 bilioni kununua magunia 270,000 ya mahindi huku wakulima...
- by adminleo
- January 31st, 2019
Wabunge waitaka NCPB iwaondolee wakulima masharti
Na CHARLES WASONGA WABUNGE sita kutoka eneo la North Rift jana walitaka Bodi ya Kitaifa ya Nafaka na Mazao (NCPB) kuondoa masharti...
- by adminleo
- January 30th, 2019
NCPB yapuuza agizo la Uhuru kuhusu mahindi
Na BARNABAS BII BODI ya Kitaifa ya Nafaka na Mazao (NCPB) imechelewa kuanza kununua mahindi kutoka kwa wakulima kama alivyoagiza Rais...
- by adminleo
- October 5th, 2018
Rais achemkia NCPB kwa kukosa kulipa wakulima
Na PETER MBURU RAIS Uhuru Kenyatta ameonyesha kuguswa na kero la maelfu ya wakulima wa mahindi ambao wamecheleweshewa malipo ya mazao...
- by adminleo
- August 23rd, 2018
Wabunge wapinga wakulima kupigwa msasa kabla ya kulipwa
Na CHARLES WASONGA WABUNGE watatu kutoka eneo la North Rift wamepinga agizo la serikali kwamba wakulima waliwasilisha mahindi kwa mabohari...
- by adminleo
- August 15th, 2018
Masharti makali kwa wakulima watakaolipwa na NCPB
Na BERNARDINE MUTANU Serikali imeweka masharti makali kuhusiana na wakulima watakaolipwa mahindi waliyowasilisha kwa depo ya kitaifa ya...
- by adminleo
- August 13th, 2018
Hatimaye wakulima kulipwa Sh1.4 bilioni za mahindi
Na PETER MBURU SERIKALI imetangaza kuwa itaanza kuwalipa wakulima deni la Sh3.5 bilioni, ikijitetea kuwa kuchelewesha malipo kulitokana na...