Tag: ndege
- by T L
- February 27th, 2022
Canada yazima ndege za Urusi katika anga yake
Na AFP OTTAWA, Canada CANADA imezuia ndege zote za Urusi kutumia anga yake kama hatua ya kuonyesha kukerwa na hatua ya nchi hiyo...
- by T L
- November 27th, 2021
Marufuku ndege za Afrika Ulaya
Na AFP SERIKALI za mataifa ya bara Ulaya mnamo Ijumaa ziliweka masharti ya kuzuia msambao wa aina mpya ya virusi vya corona,...
- by T L
- November 11th, 2021
Shirika la ndege kutumbuiza wateja wake wakiwa safarini
Na BENSON MATHEKA KAMPUNI YA safari za ndege ya Jambojet, imetangaza kuwa imeanzisha huduma za kuburudisha wateja wake wakiwa safarini...
Jambojet yazindua safari za Lamu
NA KALUME KAZUNGU KAMPUNI ya ndege ya Jambojet kwa mara nyingine imezindua safari zake kwenye anga ya Lamu baada ya kuzikatiza kwa...
Kenya yasitisha safari za ndege Somalia
Na MWANDISHI WETU KENYA Jumatatu ilisitisha safari za ndege kwenda na kutoka Somalia kuashiria kuwa uhusiano kati ya mataifa hayo...
Upanuzi wa uwanja wa ndege wa Manda waanza
NA KALUME KAZUNGU HALMASHAURI ya Usimamizi wa Viwanja vya Ndege nchini (KAA) limeanzisha ukarabati wa uwanja wa ndege wa Manda, Kaunti...
- by adminleo
- July 9th, 2020
Masharti ya safari za ndege yalegezwa
Na CHARLES WASONGA SERIKALI imetangaza kulegeza masharti ya kupambana na virusi vya corona kwa wasafiri wa ndege nchini. Tofauti na...
- by adminleo
- June 13th, 2020
Watu 6 wajeruhiwa katika ajali ya ndege Meru
NA JACOB WALTER Watu sita walipata majeraha baada ya ndege ya polisi iliyokuwa imebeba maafisa wa usalama kuanguka eneo la Kaithe,...
- by adminleo
- May 19th, 2020
Ada za usafiri wa ndege kuongezeka kutokana na athari za Covid-19
Na WINNIE ATIENO WAWEKEZAJI katika sekta ya usafiri ya ndege wanakadiria ada za usafiri huo huenda zikawa ghali mno huku wakipambana...
- by adminleo
- March 24th, 2020
KQ kuwalipia Wakenya nauli kutoka New York hadi Nairobi
Na CHARLES WASONGA SHIRIKA la Ndege la Kenya Airways (KQ) limetoa tiketi za bure kwa Wakenya waliotaka kusafiri kutoka jijini New York,...
- by adminleo
- March 2nd, 2020
Korti yazuia kukamatwa kwa anayehusishwa na picha ya ndege kutoka China
Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA Kuu imezuia kukamatawa na kushtakiwa kwa afisa wa usalama aliyetimuliwa kazini akikabiliwa na tuhuma za...
- by adminleo
- November 14th, 2019
Hatumjui, KAA yakana habari za Mkenya aliyedondoka London
Na BENSON MATHEKA MAMLAKA ya kusimamia viwanja vya ndege nchini (KAA), imekanusha habari za shirika la habari la Sky News la Uingereza...