Tag: NDIVYO SIVYO
- by T L
- December 8th, 2022
NDIVYO SIVYO: Tofauti ya maneno angalau na aghalabu
NA ENOCK NYARIKI MARA nyingi, watu hujikuta wakilitumia neno ‘angalau’ katika muktadha wa ‘ingawa’ au ‘aghalabu’. Maumbo...
- by T L
- June 23rd, 2022
NDIVYO SIVYO: Ulinganifu wa hali hasi katika methali za Kiswahili
NA ENOCK NYARIKI KATIKA msururu wa makala haya, tumekuwa tukiangazia matumizi mabaya ya baadhi ya methali za Kiswahili. Tulieleza...
- by T L
- May 19th, 2022
NDIVYO SIVYO: Neno ‘mgombea-mwenza’ na mitego yake kimatumizi
NA ENOCK NYARIKI MIKTADHA tofauti ya matumizi ya dhana ‘mgombea mwenza’ inadhihirisha kuwepo kwa mgongano wa kimaana baina ya dhana...
- by T L
- March 24th, 2022
NDIVYO SIVYO: Mtu ‘hakubali na jambo’ hulikubali jambo fulani
NA ENOCK NYARIKI KATIKA makala yaliyotangulia, tulieleza kwamba mojawapo ya sababu ambazo yamkini huwafanya watu kutumia kauli ‘kataa...
- by T L
- December 30th, 2021
NDIVYO SIVYO: ‘Nimefika kuchelewa’ ni dhana isiyo na mantiki
Na ENOCK NYARIKI BAADHI ya watu wanapokawia kufika mahali walipotarajiwa, hujiwia radhi kwa usemi, ‘Samahani, nimefika kuchelewa.’...
- by T L
- December 16th, 2021
NDIVYO SIVYO: Sahihi ni ‘Hamjambo’ wala si ‘Hamjamboni’
Na ENOCK NYARIKI DHANA nyingine inayokaribiana na ile ya viwakilishi nafsi tuliyoijadili awali inahusu kiambishi {hu}. Hiki huwa na...
NDIVYO SIVYO: Ukanushi wa kitenzi kishirikishi kipungufu ‘ni’ ni ‘si’ wala si ‘sio’!
Na ENOCK NYARIKI SIO si ukanushi wa kitenzi ‘ni’. Tazama jinsi nilivyolitumia neno “si” baada ya “sio”. Vinginevyo,...
NDIVYO SIVYO: Hakuna kuathiriwa kabla ya tukio
Na ENOCK NYARIKI "HOFU imetanda eneo la Likoni jijini Mombasa kufuatia ripoti kuwa magenge ya majambazi sasa yanawadunga waathiriwa...
NDIVYO SIVYO: Tofauti katika matumizi ya vikanushi ‘hau’ na ‘hu’
Na ENOCK NYARIKI KATIKA makala haya nitapambanua tofauti iliyopo baina ya vikanushi vya hali ‘hau’ na‘hu’. ‘Hau’ hutumiwa...
NDIVYO SIVYO: Upambanuzi wa kina wa kama, kamua na suuza
Na ENOCK NYARIKI SHABAHA yetu katika makala ya awali ilikuwa kutofautisha baina ya maneno kama na kamua ambayo aghalabu hutumiwa...
NDIVYO SIVYO: Bandubandu huisha gogo na chovyachovya humaliza buyu la asali haziwiani kimaana
Na ENOCK NYARIKI MAKALA haya yataziangazia methali mbili ambazo mara nyingi hudhaniwa kuwa na maana sawa. Methali hizo ni: Bandubandu...
NDIVYO SIVYO: ‘Kuwa’ na ‘kua’ yana ukuruba tu wa kimatamshi, maana ni tofauti
Na ENOCK NYARIKI MANENO kuwa na kua yanakaribiana sana kimatamshi. Kutokana na kukaribiana huko,si rahisi kugundua wakati...