Tag: ndovu
Hasara, hofu ndovu wakivivamia vijiji
Na MAUREEN ONGALA WAKAZI wa Ganze na Magarini, Kaunti ya Kilifi wanaendelea kuishi kwa hofu baada ya ndovu kuvamia vijiji katika maeneo...
- by adminleo
- May 24th, 2019
Mzozo mkubwa baina ya binadamu na ndovu washuhudiwa Subukia
NA PHYLIS MUSASIA WAKAZI wa kijiji cha Kavilila kaunti ndogo ya Subukia katika Kaunti ya Nakuru wameelezea ghadhabu zao wakisema mamia...
- by adminleo
- December 27th, 2018
Ndovu 396 waliangamia 2018 – KWS
Na PETER MBURU JUMLA ya ndovu 396 waliaga dunia kutokana na sababu tofauti mwaka huu, ikilinganishwa na vifo 727 vya wanyama hao ambavyo...
- by adminleo
- December 20th, 2018
UTALII: Nani aliwaua ndovu 11 kwa sumu Maasai Mara?
NA GEORGE SAYAGIE HALI ya sintofahamu bado inaendelea kuzingira vifo vya ndovu 26 katika mbuga ya Maasai Mara inayosimamiwa na serikali...
- by adminleo
- November 2nd, 2018
Kenya yaikokosoa Uchina kuondoa marufuku ya biashara ya pembe za ndovu
Na BERNARDINE MUTANU SERIKALI ya Kenya imekosoa uamuzi wa China wa kubatilisha marufuku ya biashara ya pembe za ndovu na mifupa ya simba...
- by adminleo
- October 8th, 2018
KURUNZI YA PWANI: Nyuki sasa watumiwa kupambana na mavamizi ya ndovu
NA BRIAN OCHARO TATIZO la wanyama kuingia katika mashamba ya watu katika kaunti ya Taita Taveta limekuwa kero kwa wakazi wa eneo hilo...
- by adminleo
- April 24th, 2018
Waliojaribu kuuzia polisi pembe huru kwa bondi ya Sh1m
Na HILLARY OMITI MAHAKAMA ya Migori Jumatatu iliwaachilia watu wawili kwa dhamana ya Sh1 milioni kila mmoja, baada ya kukanusha...