Tag: ng’ang’a
- by adminleo
- February 2nd, 2020
Pasta Ng’ang’a aonya serikali dhidi ya kumpokonya ardhi ya kanisa
Na ELVIS ONDIEKI PASTA James Ng'ang'a wa Kanisa la Neno Evangelism Centre, ametangaza kuwa yuko tayari kupambana na Shirika la Kenya...
- by adminleo
- September 21st, 2019
Pasta Ng’ang’a ajitetea kuanika ziwa la mama kwenye runinga
Na BENSON MATHEKA MHUBIRI mbishi James Maina Ng’ang’a wa kanisa la Neno jijini Nairobi, amejijitetea baada ya kuadhibiwa kwa kuanika...
- by adminleo
- July 31st, 2019
Askofu Ng’ang’a motoni tena
Na WAIKWA MAINA WAUMINI wanaohusishwa na kanisa la Neno Evangelism la Askofu James Nga’ang’a anayezingirwa na utata, walivamia...
- by adminleo
- June 5th, 2019
WANDERI: Kisa cha Ng’ang’a ishara ya uasi wetu kwa Mungu
Na WANDERI KAMAU ALIPOANDIKA kitabu The Origin of Species (Asili ya Viumbe) mnamo 1869, lengo kuu la msomi Charles Darwin lilikuwa...
- by adminleo
- June 1st, 2019
Matusi ya pasta Ng’ang’a yashtua Wakenya
Na BENSON MATHEKA na WANDERI KAMAU MHUBIRI mbishi James Ng’ang’a wa Kanisa la Neno Evangelism Centre jijini Nairobi, amekasirisha...
- by adminleo
- March 20th, 2019
Pasta Ng’ang’a ajuta kutisha kumuua mwanahabari
Na ERIC WAINAINA MHUBIRI James Maina Ng’ang’a wa kanisa la Neno Evangelism, Jumanne alishtakiwa kwa kutisha kumuua mwanahabari wa...
- by adminleo
- March 19th, 2019
Wahubiri wanavyokoroga dini nchini
VALENTINE OBARA na AGEWA MAGUT SIFA ya kanisa iliendelea kuharibika Jumatatu, baada ya wahubiri wawili maarufu kuendelea kuanikwa kwa...
- by adminleo
- May 15th, 2018
Baba mkwe wa mwanamke aliyegongwa na Pasta Ng’anga asema anahofia maisha yake
Na ERIC WAINAINA BABA MKWEWE Bi Mercy Njeri, ambaye alifariki baada ya kugongwa na gari la mhubiri James Ng’ang’a amedai kwamba...
- by adminleo
- May 9th, 2018
Serikali kukata rufaa ya uamuzi kuhusu Pasta Ng’ang’a
Na AGEWA MAGUT KUTOKANA na kuachiliwa huru kwa Mchungaji James Maina Ng’ang’a aliyeshtakiwa kwa ya mauaji barabarani, Waziri wa...