Tag: N’Golo Kante
- by T L
- August 27th, 2022
Pigo kwa Chelsea jeraha likimweka nje nyota tegemeo N’Golo Kante kwa wiki nne zijazo
NA MASHIRIKA KOCHA Thomas Tuchel wa Chelsea amethibitisha kwamba kiungo tegemeo N’Golo Kante sasa atasalia mkekani kuuguza jeraha la...
MBWEMBWE: Kante: Shabiki sugu wa tenisi, anachotewa mihela ya kutisha
Na CHRIS ADUNGO N’GOLO Kante, 29, ni kiungo raia wa Ufaransa anayechezea Chelsea katika Ligi Kuu ya Uingereza (EPL). Baada ya...
- by adminleo
- May 23rd, 2020
Chelsea yakubali ombi la Kante kutorejea kambini kwa minajili ya mechi za EPL zilizosalia msimu huu
Na CHRIS ADUNGO CHELSEA wamemkubalia sogora N’Golo Kante kutojisumbua kurejea katika kambi ya mazoezi ya Cobham, Uingereza baada ya...
- by adminleo
- November 9th, 2019
Kante arejea kikosini baada ya kupata nafuu
Na MASHIRIKA LONDON, Uingereza KOCHA Frank Lampard anatarajia kumkaribisha kiungo mahiri N'Golo Kante, Chelsea itakapokuwa nyumbani...