• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 3:23 PM

Pacha waungama kushiriki ngono na mpenzi mmoja

MASHIRIKA Na PETER MBURU PACHA wawili kutoka Australia wametoboa kuwa wamekuwa wakishiriki ngono na mpenzi wao mmoja kwa zamu, kwa miaka...

LEUSHADORN LUBANGA: Afichua kutamaushwa na waigizaji wa Citizen TV kumtaka kingono kwanza

Na JOHN KIMWERE ANAPENDA kuigiza lakini anawaponda baadhi ya wasanii waliowatangulia ambao hupenda kuwashusha wenzao kwa kuwataka...

Mwanangu alifumaniwa akifanya ngono na shangaziye, mwanamke aambia korti

Na RICHARD MUNGUTI MVULANA mwenye umri wa miaka 26 aliyenusurika shambulizi la polisi katika bustani ya Citi Park mwaka uliopita...

‘Aliyefanya ngono’ na BMW ajitetea kortini ilikuwa presha ya kazi

MASHIRIKA Na PETER MBURU MMILIKI wa baa moja nchini Uingereza aliwapa filamu ya bure wakazi wa Jijini London wakati alivua nguo zote na...

Mzee aliyejigamba kutafuna wanawake 6,000 afariki akimumunya uroda

MASHIRIKA Na PETER MBURU MZEE tajika wa miaka 63 nchini Italia ambaye amefahamika sana kwa kujihusisha kimapenzi na wanawake wengi na...

Mwanamke mwenye fikra chafu hatarini kusukumwa jela

MASHIRIKA Na PETER MBURU MAMA mmoja kutoka Glasgow, Scotland yuko kwenye hatari ya kufungwa gerezani, baada ya kujaribu kufanya ngono na...

MCA wa kike azuiliwa kwa kumlazimishia kijana ngono

NA PETER MBURU DIWANI maalum Beatrice Koki anazuiliwa katika jela ya Lang'ata Women, Nairobi baada ya kumnajisi mvulana wa miaka 15,...

Ngono ni muhimu sana katika maisha ya uzeeni, aeleza ajuza

MASHIRIKA Na PETER MBURU AJUZA mmoja wa miaka 83 ameibuka mtu wa kuzungumziwa sana mitandaoni, baada ya kuanzisha mtandao wa midahalo ya...

Tovuti ya ngono yazimwa, mwanamke mmiliki atupwa jela

MASHIRIKA Na PETER MBURU MMOJA wa waasisi wa mtandao mkubwa zaidi wa video za ngono nchini Korea Kusini amehukumiwa kifungo cha miaka...

Mwalimu afurushwa kwa kujichua mbele ya wanafunzi

MASHIRIKA na PETER MBURU MWALIMU mmoja kutoka jimbo la Ohio nchini Marekani amekamatwa baada ya kupatikana akijipiga punyeto (hali ya...

NAMIBIA: Jamii inayokaribisha wageni kwa ngono

MASHIRIKA Na PETER MBURU HESHIMA na ukaribisho unaofaa ni desturi ya jamii za Afrika pale zinapopata mgeni. Ni jambo la wazi kuwa nyimbo,...

Tovuti zote za ngono nchini zizimwe – Ezekiel Mutua

NA CHARLES WANYORO AFISA Mkuu Mtendaji wa Bodi ya Usimamizi na Uainishaji wa Filamu nchini Dkt Ezekiel Mutua ameunga mkono wito wa kuzima...