Tag: njaa
- by adminleo
- March 12th, 2020
Watu milioni 4 hawana chakula Kenya, utafiti wafichua
Na PETER MBURU KILA wakati thuluthi moja ya wakazi wa Kaskazini mwa Kenya wanaathiriwa na baa la njaa kiasi cha kuhitaji...
- by adminleo
- February 2nd, 2020
Nzige watasababishia Kenya njaa kuu, UN yaonya
VALENTINE OBARA na GITONGA MARETE JANGA la njaa linalokodolea macho taifa kufuatia uvamizi wa nzige, sasa limevutia hisia kutoka kwa...
- by adminleo
- January 30th, 2020
Njaa kuu yaja
Na VALENTINE OBARA JANGA la njaa linakodolea Wakenya macho kufuatia uvamizi wa nzige ambao wanaendelea kusababisha uharibifu mkubwa wa...
- by adminleo
- January 21st, 2020
Simba waliolemewa na njaa wapata ufadhili wa chakula
Na AFP KHARTOUM, Sudan MSAADA wa nyama unazidi kumiminika katika hifadhi ya wanyamapori nchini Sudan inayokabiliwa na uhaba wa hela...
- by adminleo
- January 9th, 2020
Njaa yanukia akiba ya mahindi nchini ikiisha
Na BARNABAS BII KENYA inakumbwa na hatari ya kuathiriwa na baa la njaa baada ya kiwango cha zao la mahindi kupungua kwa kiwango...
- by adminleo
- December 5th, 2019
Ni njaa ilipeleka Raila kwa Uhuru, kitabu cha Mudavadi chafichua
JULIUS SIGEI Na BENSON MATHEKA MATATIZO ya kifedha ni moja ya sababu kuu zilizomfanya Kiongozi wa ODM, Raila Odinga kukubali mwafaka wa...
- by adminleo
- October 5th, 2019
Nusu ya familia nchini ni fukara, hupata chini ya Sh10,000 kwa mwezi – Ipsos
Na BENSON MATHEKA na CHARLES WASONGA KIWANGO cha umaskini kinazidi kuongezeka nchini licha ya madai ya serikali kuwa hali ya maisha...
- by adminleo
- September 11th, 2019
WAWERU: Aibu mabilioni kuporwa huku kukishuhudiwa uhaba mkubwa wa chakula
Na SAMMY WAWERU KWA muda wa miezi miwili iliyopita baadhi ya maeneo nchini hasa yanayoshuhudia kiangazi mara kwa mara yameripotiwa...
- by adminleo
- August 28th, 2019
Watu 3 milioni hatarini kufa njaa sababu ya ukame mkuu
CAROLYNE AGOSA na BENSON MATHEKA WAKENYA milioni mbili unusu wanakabiliwa na baa la njaa kutokana na ukame huku idadi hiyo ikitarajiwa...
- by adminleo
- August 14th, 2019
MATHEKA: Serikali isipuuze ripoti za njaa kukumba maeneo
Na BENSON MATHEKA Ukame umeanza kubisha hodi katika baadhi ya maeneo nchini. Maelfu ya Wakenya wanakabiliwa na hatari ya kufa njaa huku...
- by adminleo
- August 9th, 2019
Watu milioni 2 hatarini kufa njaa Zimbabwe
Na MASHIRIKA ZAIDI ya watu milioni mbili nchini Zimbabwe wanakabiliwa na baa la njaa kutokana na kiangazi kilichoathiri mimea ya chakula...
- by adminleo
- April 30th, 2019
ONYANGO: Chakula cha msaada kisiwe mtego, kitolewe bila masharti
Na LEONARD ONYANGO WITO wa Gavana wa Turkana Josphat Nanok, kutaka serikali ya kitaifa kutumia chakula cha msaada kama chambo cha...