• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 6:55 PM

Mombasa Elite yailaza Coastal Heroes 1-0 ligi ya NSL

Na ABDULRAHMAN SHERIFF MAKOCHA wa timu za Mombasa Elite na Coastal Heroes FC wamekuwa na maoni yaliyofanana juu ya ubora wa wachezaji...

Mwatate, Bomet watoka sare 2-2

Na ABDULRAHMAN SHERIFF BAO la penalti lilofungwa na Marven Akhouya dakika ya majeruhi liliisaidia Mwatate United kugawanya pointi na AP...

TAHARIRI: Klabu za NSL, KPL zianze kujidhamini

Na MHARIRI MWANZONI mwa wiki hii, Shirikisho la Soka la Kenya (FKF), liliamuru kuahirishwa kwa mechi zote za kikosi cha Northern...

City Stars, Bidco United zatwaa uongozi wa NSL

Na JOHN KIMWERE TIMU ya Nairobi City Stars ilichupa juu ya jedwali ya kinyang'anyiro cha Supa Ligi ya Taifa (NSL) baada ya kudhalilisha...

Timu za NSL zategemea vifaa moto msimu huu

Na JOHN KIMWERE KINYANGÁNYIRO cha kuwania taji la Supa Ligi ya Taifa (NSL) kinapigiwa upatu kuzua msisimko wa kufa mtu baada ya timu...

Nairobi Stima yatamba NSL

Na JOHN KIMWERE FREDRICK Kentile aliangusha kombora moja safi kunako dakika ya tisini na kusaidia  Ushuru FC kujizolea pointi moja...

Ushuru yashuka, Wazito wapaa NSL

Na JOHN KIMWERE TIMU ya Nairobi Stima ilichomwa kwa mabao 3-1 na Ushuru FC wakati Kisumu Allstars ikirukia uongozi wa kipute cha Supa...

Wazito warejea kileleni, Ushuru yateleza

Na JOHN KIMWERE USHURU FC ilikosa ujanja na kulazimishwa kujiongezea alama moja kwenye kampeni za kupigania taji la Supa Ligi ya Taifa...

Ushuru na Wazito washuka NSL

Na JOHN ASHIHUNDU Ushuru na Wazito FC zimeteremka kwenye msimamo wa Supa Ligi (NSL) baada ya kupoteza mechi zao za mwishoni mwa wiki....

Kichapo cha 2-0 chawaondoa Ushuru kileleni NSL

Na JOHN KIMWERE TUMAINI la Ushuru FC kuendelea kukaa kileleni mwa kipute cha Supa Ligi ya Taifa (NSL) liligonga mwamba ilipozabwa mabao...

Ushuru yarejea kileleni NSL

Na JOHN KIMWERE TIMU ya Nairobi Stima iliichabanga Fortune Sacco kwa magoli 3-1 nao wanasoka wa Ushuru FC walipiga tatu safi na kurukia...

Ushuru FC yapaa NSL

NA CECIL ODONGO USHURU FC Jumamosi Februari 23 ilipaa hadi nafasi ya pili kwenye msimamo wa jedwali la Ligi ya Supa (NSL) baada ya...