Tag: nyara
Familia yaililia serikali iwasaidie kusaka mpendwa wao aliyetoweka
Na DIANA MUTHEU KWA mwezi mmoja sasa, Bi Regina David, 38 anasema kuwa hajajaliwa kupata usingizi mzito akiwaza ni wapi mumewe yuko,...
- by adminleo
- April 30th, 2020
Anayetakiwa Afrika Kusini kwa utekaji nyara aachiliwa huru
Na RICHARD MUNGUTI MFANYABIASHARA wa familia ya aliyekuwa mlanguzi wa dawa za kulevya marehemu Ibrahim Akasha, Haisam Majid...
- by adminleo
- September 5th, 2018
Maiti ya mwanachuo mjamzito yapatikana msituni
JUSTUS OCHIENG' na PETER MBURU POLISI Kaunti ya Homa Bay wana kibarua kigumu kuchunguza na kufahamisha Wakenya watu walioteka nyara...
- by adminleo
- September 5th, 2018
Msaidizi wa gavana ndani kwa kuteka nyara mwanahabari wa NMG
Na JUSTUS OCHIENG MAAFISA wa DCI Jumanne walimkamata Msaidizi wa Kibinafsi wa Gavana wa Kaunti ya Migori Okoth Obado, Michael Oyamo,...
- by adminleo
- June 7th, 2018
Kobia alimteka nyara na kumtesa raia wa Congo kwa bunduki, mahakama yaambiwa
Na RICHARD MUNGUTI RAIA wa Congo aliyedaiwa kumlaghai mfanyabiashara maarufu wa humu nchini Bw Paul Kobia Sh40 milioni akidai angemuuzia...
- by adminleo
- May 24th, 2018
Familia yamlilia Boinnet kuokoa jamaa yao aliyetekwa nyara
NA PETER MBURU FAMILIA moja kutoka kaunti ya Nakuru inamtaka Mkuu wa Polisi Joseph Boinett kuwasaidia kumpata mmoja wao ambaye anadaiwa...