• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 5:50 AM

Gavana Nyong’o hatarini kukamatwa kwa kukaidi seneti

Na VICTOR RABALLA GAVANA wa Kisumu Anyang Nyong’o anakabiliwa na tishio la kukamatwa endapo atafeli kufika mbele ya Kamati ya Seneti...

Nyong’o apigwa kumbo na wandani wake wa zamani

Na Rushdie Oudia GAVANA wa Kisumu, Prof Anyang’ Nyong’o, anakabiliwa na pingamizi kubwa kuhusu azimio la kuwania wadhifa huo kwa...

Sitabomoa makaburi ya Waislamu, Gavana aahidi

Na RUSHDIE OUDIA GAVANA wa Kisumu, Prof Anyang Nyong'o amewahakikishia waumini wa dini ya Kiislamu kwamba makaburi yao mjini humo...

Korti yaagiza Nyong’o na dadake wafungwe jela

NA RUSHDIE OUDIA GAVANA wa Kisumu Prof Anyang’ Nyong’o, amejipata matatani tena baada ya Mahakama Kuu ya Kisumu kutoa amri akamatwe...

Viongozi wa ODM waasi Raila kuhusu suala la referenda

Na RUSHDIE OUDIA na LEONARD ONYANGO BAADHI ya viongozi wa ODM wameenda kinyume na kinara wao Raila Odinga kuhusu pendekezo lake la...

Mzozo wa urithi wa mali katika familia ya Nyong’o watokota

Na RUSHDIE OUDIA MZOZO wa urithi wa mali katika familia ya Prof Anyang’ Nyong’o umechukua mkondo mpya baada ya kesi hiyo kupelekwa...

Gavana Nyong’o aondoka hospitalini

Na CHARLES WASONGA GAVANA wa Kisumu Anyang' Nyong'o Alhamisi aliruhusiwa kuondoka kutoka Hospitali ya Aga Khan, Nairobi ambako amekuwa...