Tag: nzige
- by adminleo
- March 10th, 2020
NGILA: Tutumie data ipasavyo kuimarisha ukuzaji wa chakula
NA FAUSTINE NGILA CHANGAMOTO ya uharibifu wa nzige sasa ni tisho kuu kwa utoshelevu cha chakula nchini. Nzige hawa tayari wameharibu...
- by adminleo
- March 3rd, 2020
Kizazi kipya cha nzige kitavamia Kenya – FAO
Na VALENTINE OBARA SHIRIKA la Chakula na Kilimo (FAO) linalosimamiwa na Umoja wa Mataifa, limeonya kwamba nchi itashuhudia shamblio la...
- by adminleo
- February 29th, 2020
Nzige: Mwinjilisti asema Mungu amekasirishwa na Kenya
Na GEOFFREY ANENE MENGI yamesemwa kuhusu mabilioni ya nzige ambao wamekuwa yakihangaisha Wakenya na wakazi wake kwa miezi miwili sasa...
- by adminleo
- February 25th, 2020
Nzige sasa waanza kutafuna kahawa
Na GEORGE MUNENE WAKULIMA wa kahawa katika kaunti ya Kirinyaga wamejawa na hofu baada ya nzige kuvamia mashamba kadhaa. Wakulima hao...
- by adminleo
- February 24th, 2020
China inavyotumia bata kukabili uharibifu wa nzige
MASHIRIKA na CHARLES WASONGA SERIKALI ya China imewapeleka bata kwenye mipaka yake tayari kukabiliana na uvamizi wa nzige. Ndege hao...
- by adminleo
- February 24th, 2020
Wakazi walia nzige wametafuna chakula chote
NA STEVE NJUGUNA WAKAZI wa Kaunti za Laikipia na Nyandarua wamelalamikia uharibifu mwingi uliotekelezwa na nzige wa jangwani waliovamia...
- by adminleo
- February 19th, 2020
Uharibifu wa nzige sasa washuhudiwa katika kaunti 23
VALENTINE OBARA, GEOFFREY ONDIEKI na JOSEPH KANYI IDADI ya kaunti zilizovamiwa na nzige imefika 23 huku mashirika ya kimataifa yakionya...
- by adminleo
- February 16th, 2020
Serikali yaajiri mtaalamu kutathmini uharibifu wa nzige
NA GEORGE MUNENE WAZIRI wa Kilimo Peter Munya Jumapili alitangaza kwamba serikali imeajiri mshauri maalum kwa lengo la kutathmini...
- by adminleo
- February 11th, 2020
UN yayataka mataifa yaliyostawi yasaidie Afrika Mashariki kupambana na nzige
Na DIANA MUTHEU UMOJA wa Mataifa (UN) umeiomba nchi zilizoendelea kusaidia Afrika Mashariki kupambana na nzige. Wadudu hawa...
- by adminleo
- February 10th, 2020
Nzige: Viongozi wataka wakulima walipwe fidia
STANLEY NGOTHO, ALEX NJERU na VALENTINE OBARA VIONGOZI wa Kaunti ya Tharaka-Nithi wakiongozwa na Seneta Kithure Kindiki na Mbunge wa...
- by adminleo
- February 2nd, 2020
Nzige watasababishia Kenya njaa kuu, UN yaonya
VALENTINE OBARA na GITONGA MARETE JANGA la njaa linalokodolea macho taifa kufuatia uvamizi wa nzige, sasa limevutia hisia kutoka kwa...
- by adminleo
- February 2nd, 2020
Jeshi jipya la nzige lavamia Wajir, Tharaka Nithi
Na WAANDISHI WETU KUNDI jipya la nzige liliwasili Kaunti ya Wajir kutoka Somalia huku maafisa wakieleza wasiwasi kuhusu udhaifu wa dawa...