• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 2:07 PM

Macho ya Kenya Doha kwa Obiri na Chepng’etich

Na CHRIS ADUNGO NYOTA Hellen Obiri, Lilian Kasait na Margaret Chelimo watakabiliwa na mtihani mkali katika kampeni zao za kufuzu kwa...

Obiri, Cheruiyot waendea mataji ya Diamond League wakikabiliwa na ushindani mkali

Na GEOFFREY ANENE WAKIMBIAJI nyota Hellen Obiri (mita 5,000) na Timothy Cheruiyot (mita 1,500) watapata ushindani mkali katika kampeni...

Kivumbi kinatarajiwa Kenya ikichagua wakimbiaji wa Riadha za Dunia wa mita 10,000

Na GEOFFREY ANENE MFALME wa Riadha za kilomita 21 duniani mwaka 2014, 2016 na 2018 Geoffrey Kamworor na malkia wa Riadha za Dunia,...

Obiri atamba Great Manchester Run

Na GEOFFREY ANENE NYOTA Mkenya Hellen Obiri anazidi kutesa katika riadha baada ya kushinda mbio za kilomita 10 za Simplyhealth Great...

Obiri avunja rekodi kwenye mita 5,000

Na GEOFFREY ANENE MALKIA wa mbio za mita 5,000 kwenye Riadha za Dunia na Jumuiya ya Madola, Hellen Obiri aliweka rekodi mpya ya kitaifa...

Kibarua kwa Obiri mita 3,000 Diamond League

[caption id="attachment_5487" align="aligncenter" width="800"] Mkimbiaji Sandrafelis Chebet baada ya kukamilisha mbio za nyika katika...

Obiri aambulia pakavu mbio za mita 3,000 Birmingham

Na GEOFFREY ANENE KENYA ilianza kampeni yake kwenye Riadha za Dunia za Ukumbini kwa masikitiko baada ya nyota Hellen Obiri kutoka mikono...