• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 10:08 PM

ODM wajuta kuingia katika handisheki bila utaratibu

LEONARD ONYANGO na VALENTINE OBARA CHAMA cha ODM kimeonekana kujutia mkataba wa maelewano kati ya Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa...

Mbunge amtaka Joho ajiuzulu ODM

Na CHARLES LWANGA MBUNGE muasi wa Chama cha ODM, Bw Owen Baya amemtaka Gavana wa Mombasa, Hassan Joho ajiuzulu kama Naibu Kinara wa ODM...

ODM yadai kunyimwa pesa kwa kususia kura 2017

Na VALENTINE OBARA CHAMA cha ODM kimedai kuwa kilinyimwa fedha na msajili wa vyama vya kisiasa, kwa kuwa kiongozi wa chama hicho Raila...

Zani akataa kuunga mkono Boga, asema amemchoka

Na MOHAMED AHMED UHASAMA wa kisiasa baina ya wanachama wa ODM waliowania tiketi ya chama hicho kwenye mchujo wa kuwania ubunge katika...

Yaibuka demokrasia ndani ya ODM imekuwa ndoto

RUTH MBULA na JUSTUS OCHIENG BAADHI ya wanachama wa ODM wamekashifu viongozi wa kitaifa wa chama hicho kwa kuangamiza demokrasia kwa...

ODM kutumia kura ya maoni kupata mgombea ubunge

Na FADHILI FREDRICK CHAMA cha Orange Democratic Movement (ODM) kitatumia kura za maoni kumchagua mgombea atakayekiwakilisha katika...

ODM yamtaka Dkt Ruto ajiuzulu kwa kumkejeli Rais

Na CHARLES WASONGA CHAMA cha ODM kimemtaka Naibu Rais William Ruto kujiuzulu kwa kuonekana kumkejeli Rais Uhuru Kenyatta kuhusiana na...

Huu si wakati wa kusaka kura za 2022 – Raila

Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa ODM Raila Odinga Ijumaa aliwataka wanachama wa chama hicho wakomesha kampeni za mapema za uchaguzi mkuu...

Hakuna ulegevu ndani ya ODM – Mbadi

CHARLES WASONGA MWENYEKITI wa ODM John Mbadi amekana madai kuwa chama hicho kilikosa uongozi na mwelekeo wa pamoja wakati Raila Odinga...

ODM yajiandaa kupinga refarenda kufanywa 2022

Na SAMWEL OWINO CHAMA cha ODM kimepanga mikakati kuzuia uwezekano wa bunge kupitisha hoja ambayo itapelekea kura ya maamuzi kufanywa...

Ndoa ya ODM na Jubilee yaingia doa

Na BENSON MATHEKA KUJIVUTA kwa chama cha ODM, kukubali mkataba wa ushirikiano na chama cha Jubilee kulisababisha mzozo kuhusu uanachama...

ONYANGO: Vyama vya kisiasa havifai kufadhiliwa kwa pesa za umma

Na LEONARD ONYANGO KUNA haja ya kubadili Sheria ya Vyama vya Kisiasa ya 2011 ili kuondoa kifungu kinachotaka viwe vikifadhiliwa na fedha...