Tag: olimpiki
Kenya yazidi kuteleza Olimpiki za Walemavu
Na MASHIRIKA MAKALA ya Olimpiki za Walemavu mwaka huu jijini Tokyo, Japan yatashuhudia Kenya ikisajili matokeo duni zaidi katika...
Ni kisasi, vita vya ubabe kati ya Faith na Hassan fainali 1500m wanawake leo
Na MASHIRIKA FAINALI ya leo ya mbio za 1500m wanawake kwenye Olimpiki za Tokyo nchini Japan, itakuwa jukwaa la vita vya ubabe kati ya...
Brazil na Ivory Coast nguvu sawa kwenye Olimpiki
Na MASHIRIKA MABINGWA watetezi wa Olimpiki, Brazil, walilazimishiwa sare tasa na Ivory Coast kwenye mchuano wa Kundi D mnamo Jumapili...
Brazil na Ivory Coast kuumiza nyasi leo
YOKOHAMA, Japan BAADA ya kushinda mechi zao za ufunguzi katika Kundi D kwenye Olimpiki zinazoendelea nchini Japan, Brazil na Ivory Coast...
Mwanataekwondo Ogallo ashinda uandishi wa insha ya Olimpiki Kenya
Na GEOFFREY ANENE NYOTA Faith Ogallo si mchache tu katika mchezo wa taekwondo! Ogallo, ambaye atawakilisha Kenya kwenye Olimpiki katika...
NDONDI: Kenya yasubiria nafasi mbili zaidi Olimpiki
NA CHARLES ONGADI LICHA ya kamati ya Kimataifa ya Olimpiki (IOC) kufutilia mbali Mashindano ya Dunia kufuzu kushiriki Michezo ya...
Hit Squad wajiandaa kwa Olimpiki
Na CHRIS ADUNGO TIMU ya taifa ya ndondi almaarufu ‘Hit Squad’ imeimarisha matayarisho yake kwa minajili ya raundi ya mwisho ya...
- by adminleo
- March 25th, 2020
Olimpiki zaahirishwa kwa muda sababu ya maradhi ya Covid-19
Na MASHIRIKA TOKYO, JAPAN MICHEZO ya Olimpiki iliyofaa kuandaliwa jijini Tokyo, Japan kati ya Julai 24 hadi Agosti 9, 2020...
- by adminleo
- March 20th, 2020
‘Olimpiki ya mikosi’ Japan ikinusa jinamizi la miaka 40
Na MASHIRIKA TOKYO, Japan NAIBU Waziri Mkuu wa Japan, Taro Aso amesema Olimpiki ya 2020 “imelaaniwa” huku presha ikizidi kwa...
- by adminleo
- March 3rd, 2020
#Olimpiki2020: Wakenya 87 wafuzu
Na GEOFFREY ANENE WAKENYA 87 wamefuzu kushiriki Michezo ya Olimpiki 2020 itakayoandaliwa mjini Tokyo nchini Japan mnamo Julai 24 hadi...
- by adminleo
- January 31st, 2020
Bingwa Kipchoge kuongoza uwindaji dhahabu Olimpiki
Na GEOFFREY ANENE MSHIKILIZI wa rekodi ya dunia ya mbio za kilomita 42, Eliud Kipchoge anatarajiwa kuongoza orodha ya wakimbiaji...