Tag: owuor
- by adminleo
- March 25th, 2019
‘Nabii’ Owuor atabiri maafa zaidi Wakenya wasipotubu
Na BERNARDINE MUTANU NABII David Owuor Jumapili alitabiri majanga zaidi ulimwenguni huku mataifa kadhaa ya eneo la kusini mwa Afrika...
- by adminleo
- March 5th, 2019
Jinsi ya kutambua dhehebu lenye imani potovu
NA MHARIRI WAUMINI huhitajika uaminifu wao wote uwe kwa kiongozi wao wa kidini, na hii huhitaji kukatiza mahusiano ya kifamilia na...
- by adminleo
- March 5th, 2019
Dhehebu la ‘Nabii’ Owuor lilivyotumia ‘injili’ kunyakua mali ya muumini
Na AGEWA MAGUT DHEHEBU linaloongozwa na David Owuor la Ministry of Holiness and Repentance, Jumapili lilijipata motoni wakati familia...
- by adminleo
- December 31st, 2018
Boinnet achukua hatua kuhusu ulinzi wa mhubiri Owuor
BENSON MATHEKA Na ERIC MATARA Inspekta Jenerali wa polisi Joseph Boinnet, alijitenga na ulinzi ambao mhubiri David Owuor alipatiwa na...
- by adminleo
- December 29th, 2018
Mhubiri anayelindwa kama Rais
Na MAGDALENE WANJA SHUGHULI za kawaida zilitatizika Ijumaa mjini Nakuru wakati mhubiri wa kanisa la Repentance and Holiness Ministries...
- by adminleo
- April 2nd, 2018
Baraka za ‘Nabii’ Owuor kwa wafanyabiashara Nakuru
PETER MBURU Na MAGDALENE WANJA Wafanyabiashara mjini Nakuru wamekula vinono kwa kipindi cha siku nne, kufuatia uwepo wa ‘Nabii’ David...