Tag: paka
- by adminleo
- January 15th, 2019
Mwanaume ahadaa majirani anazika paka, kumbe ni mwanawe!
MASHIRIKA Na PETER MBURU MWANAUME mmoja kutoka Mexico aliwahadaa majirani kumpa mahali pa kuzika paka wake aliyefariki, lakini watu...
- by adminleo
- September 11th, 2018
Madiwani wataka uchunguzi kuhusu maiti ya paka bungeni
Na STEPHEN ODUOR WANACHAMA wa Bunge la Kaunti ya Tana River wanaitaka afisi ya karani wa bunge hilo kutoa picha za kamera za CCTV na...
- by adminleo
- June 27th, 2018
Msako mkali Nakuru baada ya wakazi kulishwa paka
Na ERCI MATARA SIKU moja baada ya mwanamume mmoja mjini Nakuru kufungwa jela miaka mitatu kwa kuchinja na kuuza nyama ya paka, maafisa...
- by adminleo
- June 26th, 2018
Jela miaka 3 kwa kulisha umma nyama ya paka kwa miaka 6
JOSEPH OPENDA na MERCY KOSKEY MAHAKAMA ya Nakuru Jumatatu ilimfunga mwanamume miaka mitatu gerezani kwa kuuzia wauzaji wa sambusa nyama...
- by adminleo
- June 25th, 2018
Akiri amechinja paka 1,000 kuuzia nyama waundaji wa sambusa tangu 2012
NA PETER MBURU POLISI mjini Nakuru wanamzuilia mwanamume ambaye anatuhumiwa kuendeleza biashara ya nyama ya paka kwa wauzaji wa samosa,...
- by adminleo
- June 11th, 2018
Nilimuua mume wangu kwa kutesa paka wangu, akiri mwanamke
Na MASHIRIKA DALLAS, AMERIKA WAKAZI wa eneo la Dallas walishtushwa na jinsi mwanamke alivyokiri kwamba alimuua mume wake kwa kuwa alikuwa...
- by adminleo
- June 11th, 2018
Ndani kwa kufungia mtoto na paka 39 ndani ya gari
Na MASHIRIKA na VALENTINE OBARA OAKDALE, AMERIKA POLISI walimkamata mwanamke aliyemfungia mtoto wake na paka wapatao 39 kwenye sehemu...