• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 5:55 AM

Papa Francis aunga kuondolewa kwa ulinzi wa hakimiliki za uvumbuzi wa chanjo ya corona

Na MASHIRIKA VATICAN CITY, Holy See KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis Jumamosi aliunga mkono wito wa kuondolewa usiri...

Makao Makuu ya Katoliki Vatican hatarini kufilisika

Na VALENTINE OBARA MAKAO makuu ya Kanisa Katoliki ulimwenguni yaliyoko Vatican, yametoa wito kwa waumini na wafadhili kuchangia ili...

Papa Francis achagua mwanamke katika baraza kuu

Na MASHIRIKA PAPA Francis amevunja desturi za Kanisa Katoliki kwa kuteua mwanamke awe katibu wa baraza kuu la maaskofu. Hii ni mara...

Wakatoliki wataka ufafanuzi kuhusu Papa kuunga ushoga

KAMPALA, Uganda Na MASHIRIKA KANISA Katoliki nchini hapa linataka ufafanuzi kuhusu ripoti kwamba Kiongozi wake Duniani, Papa Francis...

Papa Francis haugui virusi vya corona – Ripoti

Na MARY WANGARI BABA mtakatifu Francis, aliyefutilia mbali likizo ya Lenti kwa mara ya kwanza katika hatamu yake kama papa kwa sababu...

Papa Francis akatiza likizo kwa sababu ya mafua

MARY WANGARI na MASHIRIKA PAPA Francis aliyefutilia mbali likizo ya Lenti kwa mara ya kwanza katika hatamu yake kama papa kwa sababu...

Maaskofu na mapadri hunyemelea watawa kimapenzi – Papa Francis

Na MASHIRIKA KIONGOZI wa Kanisa Katoliki ulimwenguni, Papa Francis amekiri watawa wengi wamekuwa wakidhulumiwa kimapenzi na mapadri na...

Watawa walalamikia kufanyishwa kazi za sulubu Vatican

Na MASHIRIKA VATICAN CITY, ROMA WATAWA watatu katika makao makuu ya Kanisa Katoliki wamelalamikia kile walichodai ni kudhulumiwa kwa...