• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 6:27 PM

ICC: Gicheru apumua ombi la upande wa mashtaka likitupwa nje

NA VALENTINE OBARA WAKILI Paul Gicheru, aliyeshtakiwa katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) kwa madai ya kuhonga mashahidi,...

Gicheru ataka ICC isiidhinishe nakala

NA VALENTINE OBARA WAKILI Paul Gicheru, ameitaka Mahakama ya Kimataifa kuhusu Uhalifu (ICC), isiruhusu upande wa mashtaka kutumia nakala...

Pigo kwa Gicheru ICC ikikataa ombi lake

Na VALENTINE OBARA WAKILI Paul Gicheru, amepata pigo katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) baada ya ombi lake la kutaka...

ICC yadai Gicheru alihonga mashahidi wajiondoe kwa kesi

Na WALTER MENYA KESI inayomkabili wakili Paul Gicheru katika Mahakama ya Kimataifa kuhusu Uhalifu (ICC), imezingirwa na madai ya...

ICC huenda ifute dhamana kwa wakili Gicheru

Na JOSEPH WANGUI MAHAKAMA ya Kimataifa kuhusu Uhalifu wa Kibinadamu (ICC) huenda ikafutilia mbali uamuzi wake wa kumwachilia huru kwa...

Bensouda afurahia kuruhusiwa kukagua vifaa vilivyomilikiwa na wakili Gicheru

Na VALENTINE OBARA AFISI ya Kiongozi wa Mashtaka katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) inayoongozwa na Bi Fatou Bensouda,...

Wakili aliyejisalimisha ICC asalia pweke Kenya ikijitenga

Na VALENTINE OBARA WAKILI Paul Gicheru aliyejisalimisha kwa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), ameikosoa serikali ya Kenya kwa...

Wakili Gicheru: Sikushurutishwa wala kutishiwa ili nijisalimishe ICC

Na VALENTINE OBARA WAKILI Paul Gicheru anayedaiwa kushawishi mashahidi wajiondoe katika kesi iliyomkumba Naibu Rais William Ruto katika...

Wakili Gicheru kizimbani ICC leo Ijumaa

Na VALENTINE OBARA WAKILI Paul Gicheru, anayedaiwa kushawishi mashahidi wajiondoe katika kesi ya ghasia za baada ya uchaguzi wa 2007...

Wakili Gicheru kuishi ‘vizuri’ katika seli ICC

Na VALENTINE OBARA WAKILI Paul Gicheru, anayedaiwa kuvuruga mashahidi wa kesi iliyomkumba Naibu Rais William Ruto katika Mahakama ya...

Wakili aliyesakwa na ICC ajisalimisha

Na BENSON MATHEKA WAKILI Mkenya aliyekuwa akisakwa na Mahakama ya Kimataifa kuhusu Uhalifu, (ICC), amejisalimisha kwa mahakama hiyo...