• Nairobi
  • Last Updated April 16th, 2024 6:55 PM

SHANGAZI AKUJIBU: Alivunja uhusiano wetu baada ya asali, naumia!

Na SHANGAZI VIPI shangazi? Nimekuwa na mpenzi kwa mwaka mmoja sasa. Nilikuwa nimemwambia kuwa sitamuonjesha asali hadi siku ambayo...

Demu mpenda chupa apoteza penzi

Na NICHOLAS CHERUIYOT NYAGACHO, KERICHO POLO wa mtaa huu aliaibika sana aliporudi nyumbani kutoka kibarua cha mjengo na kupata habari...

SHANGAZI AKUJIBU: Mwenzangu amekatiza uhusiano wetu, naumia!

Na SHANGAZI VIPI shangazi? Nimekuwa na mpenzi na alikuwa ameniahidi kuwa atanioa. Mwezi uliopita alihamishwa kikazi hadi mji tofauti na...

SHANGAZI AKUJIBU: Nahisi maisha hayana maana bila yeye, nifanyeje?

Na SHANGAZI SHIKAMOO shangazi! Nina tatizo fulani na tafadhali nakuomba unishauri kuhusu jinsi ya kulitatua. Nina umri wa miaka 24 na...

SHANGAZI AKUJIBU: Aliniambia ataoa mke wa pili kulingana na desturi

Na SHANGAZI KWAKO Shangazi. Nina umri wa miaka 23 na niliolewa majuzi tu. Sasa ndio tunajiandaa kupata mtoto wetu wa kwanza lakini kuna...

SHANGAZI AKUJIBU: Ninampenda lakini nahisi ananidharau na kuniona fukara

Na SHANGAZI SHIKAMOO shangazi! Nina mwanamke mpenzi wangu ambaye ninampenda kwa dhati na nia yangu hasa ni kumuoa. Hata hivyo, kuna...

SHANGAZI AKUJIBU: Alinishangaza majuzi kuniambia eti mtoto si wangu!

Na SHANGAZI SHIKAMOO shangazi! Nilikuwa na mpenzi na akapata mtoto tukiwa pamoja. Niliamini mtoto alikuwa wangu na nilikubali jukumu la...

SHANGAZI AKUJIBU: Mke wa zamani ameanza kumwandama tena

Na SHANGAZI HUJAMBO shangazi? Nimekuwa katika uhusiano na mwanamume aliyekuwa na mke lakini wakaachana. Wakati ambapo penzi letu limefikia...

SHANGAZI AKUJIBU: Sielewi ni kwa nini amekawia bila kuniomba penzi

Na SHANGAZI HUJAMBO shangazi? Kuna mwanamume tunayefanya kazi pamoja ambaye ameteka moyo wangu kimapenzi. Tumekuwa marafiki wakubwa katika...

FUNGUKA: Nachuuza mke wangu nipate hela

  Na PAULINE ONGAJI Japo mwanzoni nilionekana kukerwa na tabia hii, mke wangu alinishawishi akisema kwamba ingekuwa fursa murwa ya...

FUNGUKA: ‘Amenigeuza ngoma ila nampenda kupindukia’

Na PAULINE ONGAJI Kwa Muhtasari: Huenda binti huyu akavunja rekodi kwa kuongoza orodha ya vipusa walioleweshwa na kupumbazwa na...