Tag: pesa
- by T L
- November 10th, 2021
Serikali kuunda idara ya kufuatilia matumizi ya pesa
Na BRIAN OJAMAA SERIKALI inanuia kuunda idara ya manunuzi katika ngazi ya kitaifa itakayohakikisha kuwa Sh500 milioni iliyotolewa kwa...
Makundi 10 ya wafanyabiashara Thika yapokea mkopo wa Sh1.4 milioni
Na LAWRENCE ONGARO VIKUNDI 10 vya wafanyabiashara vimenufaika na mkopo ya Sh1.4 milioni ili kujiendeleza zaidi. Fedha hizo zimetolewa...
Pasta atozwa Sh2,000 baada ya kufumaniwa na muumini
Na SHABAN MAKOKHA PASTA wa Kanisa la ADC eneo la Lugari, Kaunti ya Kakamega, ametozwa faini ya ng’ombe, kondoo na Sh2,000 baada ya...
Wahalifu watumia maombi kuwahadaa wakazi wa Thika
Na LAWRENCE ONGARO WASHUKIWA wanane wa ulaghai wanaojidai wana uwezo wa kuombea watu na 'kuongeza pesa' wamevamia mji wa Thika. Mnamo...
Karua ashangaa jinsi BBI itakavyosaidia kaunti kupata mgao zaidi wa fedha wakati ambapo taifa linadaiwa matrilioni ya pesa
Na SAMMY WAWERU AHADI serikali za kaunti zitapata mgao wa asilimia 35 ya makadirio ya bajeti kila mwaka ni hewa tu, kiongozi wa...
Askofu Pesa alia kupunjwa hela
CECIL ODONGO na RUSHDIE OUDIA KIONGOZI wa Kanisa la Holy Ghost Coptic, John Pesa amelalamika kwamba alichezewa shere wakati wa kupokea...
- by adminleo
- April 30th, 2020
Kampuni ya Broadway yatoa msaada wa unga na pesa
Na LAWRENCE ONGARO KAMPUNI ya Broadway Group of Companies (Bakex Millers) imetoa mchango wa Sh12.5 milioni na mifuko kiasi cha beli...
- by adminleo
- February 13th, 2020
Wakuu wa vyuo vya kiufundi waonywa dhidi ya kuongeza karo kila mara bila kuifahamisha TTI
Na BRENDA AWUOR WAKUU wa vyuo vya kiufundi katika kaunti za Kisumu, Siaya, Migori, Busia, Homa Bay, Kisii, Nyamira, Bungoma, na Kakamega...
- by adminleo
- January 20th, 2020
Mwanamke anaswa akiuza mtoto Sh30,000
Na STANLEY NGOTHO MWANAMKE katika eneo la Mlolongo, kaunti ya Machakos alikamatwa wikendi pamoja na wenzake wawili alipojaribu kumuuza...
- by adminleo
- January 4th, 2020
Magavana wataka Wizara ya Fedha ifuate maagizo
Na NDUNGU GACHANE BARAZA la Magavana (COG) sasa linataka Wizara ya Fedha kuheshimu uamuzi wa Mahakama na kutuma mgao wa pesa kwa...
- by adminleo
- January 4th, 2020
Chunga usiliwe pesa bure, wazee wamuonya Ruto
Na ERIC MATARA BARAZA la wazee eneo la Rift Valley, limemuonya Naibu Rais William Ruto kuwa macho asipotoshwe na matapeli wa kisiasa...
- by adminleo
- October 21st, 2019
Ashtakiwa kutumia kisingizio cha msiba kuomba mbunge pesa
Na RICHARD MUNGUTI MKAZI wa Kaunti ya Kakamega, Erastus Matende Omwoma ameshtakiwa kwa kumlaghai Mbunge wa Lurambi Titus Khamula...